Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,803
- 175
Salaam,
Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa yeyote iwapo tutakubaliana masharti.
1. Kiwango kinachohitajika ni10m.
2. Dhamana ni nyumba, ipo jijini Mwanza.
3. Muda wa urejeshaji uwe ni miezi 3, iwapo tutakubaliana.
Kwa yeyote aonaye anayofursa kukopeshana kwa dhamana tajwa hapo juu, basi usisite kuwasiliana name kwa PM ili tusaidiane.
Ahsanteni.
Mpevu.
Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa yeyote iwapo tutakubaliana masharti.
1. Kiwango kinachohitajika ni10m.
2. Dhamana ni nyumba, ipo jijini Mwanza.
3. Muda wa urejeshaji uwe ni miezi 3, iwapo tutakubaliana.
Kwa yeyote aonaye anayofursa kukopeshana kwa dhamana tajwa hapo juu, basi usisite kuwasiliana name kwa PM ili tusaidiane.
Ahsanteni.
Mpevu.