Mkopo wa haraka wa Tsh 500,000/=

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,012
Wakuu nimepatwa na dharura ya kibiashara,ninahitaji mkopo wa haraka wa tsh 500,000/=marejesho ni baada ya mwezi mmoja.
Dhamana na riba nimakubaliano kati yangu na mtoa mkopo.
Kwa mwenye nao tunaweza kuwasiliana kwa pm.
Shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…