Mkopo wa HAZINA: Miaka mitatu mfululizo nakosa sijui hata nakosea wapi mpaka nakosa Imani na serikali yangu

Mkopo wa HAZINA: Miaka mitatu mfululizo nakosa sijui hata nakosea wapi mpaka nakosa Imani na serikali yangu

Mama Naa

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
453
Reaction score
1,104
Habari yenu wana jamvi.

Kuna mikopo ambayo huwa inatolewa na serikali kupitia hazina Kila mwaka kwenye halmashauri zetu.

Sasa nimefukuzia huo mkopo Miaka 3 sasa bila mafanikio hata sijui huwa nakosea wapi!! mara ya mwisho nimeomba mwaka huu majibu yao kwenye mfumo ni REJECTED....na hapo baada ya kuwapigia maHR ndio wametoa majibu.

Nimeanza hata kuichukia serikali maana naona inafanya upendeleo, nimefatilia Halmashauri watumishi 99.9% Wana huo mkopo na huko wizarani watu kibao wanapata huo mkopo wakiwemo Wakurugenzi na Makatibu wakuu ila Huku chini kupata ni mbinde kweli.

BOT na HAZINA embu tendeni haki bana miaka 3 sasa mimi ni rejected tu na hiki ki sms chenu.

Your loan application was rejected, Please Login into Hazina Portal for more clarifications.

Hiyo mikopo miaka 3 mfululizo mnawapa akina nani kama sisi Kila mwaka rejected.

FIFO bado kwenu haifanyi kazi.

Hazina tendeni haki bana kama hiyo mikopo ni kwa ajili yenu peaneni huko huko kimya kimya. Imeniuma sana. !!

Ahsanteni.
 
Upo halmashauri au?
Ww ni kada gani? Mwalimu au??
 
Habari yenu wana jamvi.

Kuna mikopo ambayo huwa inatolewa na serikali kupitia hazina Kila mwaka kwenye halmashauri zetu.

Sasa nimefukuzia huo mkopo Miaka 3 sasa bila mafanikio hata sijui huwa nakosea wapi!! mara ya mwisho nimeomba mwaka huu majibu yao kwenye mfumo ni REJECTED....na hapo baada ya kuwapigia maHR ndio wametoa majibu.

Nimeanza hata kuichukia serikali maana naona inafanya upendeleo, nimefatilia Halmashauri watumishi 99.9% Wana huo mkopo na huko wizarani watu kibao wanapata huo mkopo wakiwemo Wakurugenzi na Makatibu wakuu ila Huku chini kupata ni mbinde kweli.

BOT na HAZINA embu tendeni haki bana miaka 3 sasa mimi ni rejected tu na hiki ki sms chenu.

Your loan application was rejected, Please Login into Hazina Portal for more clarifications.

Hiyo mikopo miaka 3 mfululizo mnawapa akina nani kama sisi Kila mwaka rejected.

FIFO bado kwenu haifanyi kazi.

Hazina tendeni haki bana kama hiyo mikopo ni kwa ajili yenu peaneni huko huko kimya kimya. Imeniuma sana. !!

Ahsanteni.
Mama Naa hizo pesa zina wenyewe kama ifuatavyo;
1. Uhonge upewe au
2. Uliwe upewe.

Wewe pambana kivyako utatoboa tu
 
Labda mpo wengi kwenye list au hela uliyoomba ni kubwa hivyo wanawakusanya walioomba kidogo na kuwapa ili ionekane wametoa kwa watu wengi, si unajua tena watu wanafukuzia teuzi na wanaangalia "quantity" kwamba wametoa kwa staff wengi na si "quality" kwamba wametoa mikopo mikubwa kwa watu kadhaa ambao imewezesha kubadilisha maisha ya Jamii flani.

Nimewaza tu kwa sauti mkuu ila sijui chochote kuhusu hiyo mikopo
 
Habari yenu wana jamvi.

Kuna mikopo ambayo huwa inatolewa na serikali kupitia hazina Kila mwaka kwenye halmashauri zetu.

Sasa nimefukuzia huo mkopo Miaka 3 sasa bila mafanikio hata sijui huwa nakosea wapi!! mara ya mwisho nimeomba mwaka huu majibu yao kwenye mfumo ni REJECTED....na hapo baada ya kuwapigia maHR ndio wametoa majibu.

Nimeanza hata kuichukia serikali maana naona inafanya upendeleo, nimefatilia Halmashauri watumishi 99.9% Wana huo mkopo na huko wizarani watu kibao wanapata huo mkopo wakiwemo Wakurugenzi na Makatibu wakuu ila Huku chini kupata ni mbinde kweli.

BOT na HAZINA embu tendeni haki bana miaka 3 sasa mimi ni rejected tu na hiki ki sms chenu.

Your loan application was rejected, Please Login into Hazina Portal for more clarifications.

Hiyo mikopo miaka 3 mfululizo mnawapa akina nani kama sisi Kila mwaka rejected.

FIFO bado kwenu haifanyi kazi.

Hazina tendeni haki bana kama hiyo mikopo ni kwa ajili yenu peaneni huko huko kimya kimya. Imeniuma sana. !!

Ahsanteni.
Mkuu kwa hiyo haki haijatendeka kwa sababu tuu wewe hujapewa mkopo?
 
Ni lazima uombe mkopo hazina? Njia nyingine za kupata mkopo si zipo ??? Ungekuwa na uhitaji mkubwa ungesubiri miaka yote mitatu ! Tafuta zee moja huko uongee nalo vizuri hutokwama ! Kumbuka hakuna connection ya bure dunia hii, utoe pesa ama utoe k !
 
Mama Naa hizo pesa zina wenyewe kama ifuatavyo;
1. Uhonge upewe au
2. Uliwe upewe.

Wewe pambana kivyako utatoboa tu
Alafu wanakopeshana watu wa HALMASHAURI tu,yaani Hawa wengine HAWAPATI,ukipata ujue umehonga,au umeliwa,alafu hiyo MIKOPO ikija HALMASHAURI Huwa hawatangazi,ni KIMYA KIMYA,hakuna Cha haki hapo. Serikali ingetumia MFUMO wa ESS badala ya huu utaratibu.
 
Alafu wanakopeshana watu wa HALMASHAURI tu,yaani Hawa wengine HAWAPATI,ukipata ujue umehonga,au umeliwa,alafu hiyo MIKOPO ikija HALMASHAURI Huwa hawatangazi,ni KIMYA KIMYA,hakuna Cha haki hapo. Serikali ingetumia MFUMO wa ESS badala ya huu utaratibu.
Ess yenyew mmiliki ni mwajiri lazima ahusike kuapproval tabu Iko pale pale 😄
 
Labda mpo wengi kwenye list au hela uliyoomba ni kubwa hivyo wanawakusanya walioomba kidogo na kuwapa ili ionekane wametoa kwa watu wengi, si unajua tena watu wanafukuzia teuzi na wanaangalia "quantity" kwamba wametoa kwa staff wengi na si "quality" kwamba wametoa mikopo mikubwa kwa watu kadhaa ambao imewezesha kubadilisha maisha ya Jamii flani.

Nimewaza tu kwa sauti mkuu ila sijui chochote kuhusu hiyo mikopo
My application number was 33..
 
Usisahau pia wanapata Wachache sana hii mikopo ya hazina.
 
Mkuu kwa hiyo haki haijatendeka kwa sababu tuu wewe hujapewa mkopo?
Kwa hiyo ni haki kuninyima mkopo ambao kila mtu ana haki nao na ni jasho la wananchi wote....
 
Back
Top Bottom