Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 453
- 1,104
- Thread starter
- #21
Walaaniwe wote na vizazi vyao vya saba mbeleni.....Ni lazima uombe mkopo hazina? Njia nyingine za kupata mkopo si zipo ??? Ungekuwa na uhitaji mkubwa ungesubiri miaka yote mitatu ! Tafuta zee moja huko uongee nalo vizuri hutokwama ! Kumbuka hakuna connection ya bure dunia hii, utoe pesa ama utoe k !
Taifa la ovyo kabisa hili.