Mkopo wa laki 300,000

Eli24

Senior Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
165
Reaction score
364
Habari ndugu zangu wana JF
Mim ni kijana ambae nlikuwa napambana na maisha ila hv karibuni nmeweza kupata kazi katika jiji la Arusha Ila hyo kazi inaanza January tarehe 2. Kwa sasa nina omba mkopo wa shiriki laki3 iliniweze kijikimu wakat nasubilia mshahara wangu wa kwanza maana siwez kukaa gesti house kipind chote wakat naanza kufanya kazi na sina ndugu wala marafik...Je kuna mtu anaweza kunisaidia kupata Mkopo huo na kwa riba yake yeye atakayopanga maana kwa sasa sina chochote kile tutaandikiashina kila kitu ili niweze kupata Mkopo huo.
Ahsante
 
Una nini cha kuwekea bondi mie naweza kukukopesha ila nipo dsm
 
mim kunakipindi nilipata kazi maeneo Fulani, simjui MTU, wala nini, nilichokifanya niliongea na wafanyakazi wa hiyo taasisi, kupitia kwa boss wangu, akaniunganisha na mtumishi mmoj, nikawa naishi kwake ndani ya mwezi mzima, nipopata tu mshahara, nikakodi chumba na godoro la futi mbili, sio tano kwa sita, godoro likanisogeza miezi mitatu baadaye,nikanunua godoro la tano kwa sits,na kitanda.
 

Ndugu yangu nimejaribu vyoteee ila naona imeshindikana kabsaaa maana wafanyakazi wengi wa hapo n wa kike basi n taabu sana
 
Ndugu yangu nimejaribu vyoteee ila naona imeshindikana kabsaaa maana wafanyakazi wengi wa hapo n wa kike basi n taabu sana

Inategemea na aina ya kazi ma watu husika, unaweza kuongea na bosi ukapewa salary advance (na uombe hicho kiasi wakikate kama mara 3 kwenye mshahara wako).

Hii ni rahisi zaidi kwa sababu itakuwa haina riba, na dhamana yake ni huo mshahara wako. Pia wakikata mara 3 maumivu siyo makubwa kama wakikata mara 1.

Hii ni pekee inayoweza kukusaidia.
 
Wafanyakazi wenzako imeshindikana kabisa kuwakopa au kuwaomba hifadhi?

Huku ni strangers tupu, chance ya wewe kupata mkopo ni 2%
 
Heading yako inasema unahitaji Mkopo wa Laki 300,000,
Yani zile laki laki ziwe 300,000,
Yaani 100,000/= x 300,000 = 30,000,000,000/= (Bil 30)
 
Heading yako inasema unahitaji Mkopo wa Laki 300,000,
Yani zile laki laki ziwe 300,000,
Yaani 100,000/= x 300,000 = 30,000,000,000/= (Tril 30)
Wew unankosoa mwenzio nawew ona unakosea hyo ni tril30? Kujikutaga mnajua saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…