habari za majukumu wanajf!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
mjasiliamali wa mwanza wilaya ya nyamagana.
HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.
Una dhamana yoyote kama nyumba au gari au kiwanja? Nitakupa pesa hiyo kwa riba ya 50%.HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.
HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.
Una dhamana yoyote kama nyumba au gari au kiwanja? Nitakupa pesa hiyo kwa riba ya 50%.
HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.