Msenyele
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 338
- 86
HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF!
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.
Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja.
Tafadhali kwa anayeweza ani 'private sms' ili tuweze kupeana details zaidi. Pia kwa anayejua panapoweza kupatikana mkopo huo asisite kunijulisha hata kama ni mtu binafsi.
Natanguliza shukrani;
Mjasiliamali wa Mwanza wilaya ya Nyamagana.