Mkopo Wangu Umepelekwa Chuo Tofauti na Nilichopangwa na tcu

Mkopo Wangu Umepelekwa Chuo Tofauti na Nilichopangwa na tcu

Pompoo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
362
Reaction score
41
Kabla ya transfer nilichaguliwa DUCE Baed. Ila Nikaomba transfer ya kwenda NIT. Tena nikapewa fom maalum pale chuoni nijaze nakuipeleka tcu. Ajabu ni kwamba mkopo umetoka tofauti kabisa. Mkopo uko Archbishop Tabora. Sasa nashindwa kuelewa kama transfer yangu ililshindikana kwa nini wanipeleke Tabora? TCU KWA HILI HAMKUNITENDEA HAKI.
 
Dah pole mkuu ,naomba nichekie s.0771/0071/2010 tafadhali

The student with Index number
'S0771.0071.2010' did not secure a higher
education loan for 2013/14 academic year.
 
Mkuu naomba kujua umejuaje kuwa mkopo wako umepelekwa chuo kingine..kuna mdogo wangu hayumo kwenye database lakini alitransfer to priority course
 
Mkuu naomba kujua umejuaje kuwa mkopo wako umepelekwa chuo kingine..kuna mdogo wangu hayumo kwenye database lakini alitransfer to priority course

mkuu google olas watakuletea olas loan allocation ingia hapo. Ingiza details zake watakuonyesha kozi aliyonayo na mkopo uliko pamoja na mgawanyo wake.
 
mkuu google olas watakuletea olas loan allocation ingia hapo. Ingiza details zake watakuonyesha kozi aliyonayo na mkopo uliko pamoja na mgawanyo wake.

Uliwezaje kuhama Chuo, i mean procedure zake zilikuwaje?
 
dah! apo mikojo mitupu,sasa cha kukushauri ndugu chagua moja mkopo au kusoma,kama unataka mkopo nenda ulipopelekwa huo mkopo wako maana hawajamaa wanafanya kusudi ili wakakinge wao waongee kwa herufi kubwa na mabasa wa vyuo
 
Kwa hiyo nisipoenda tabora pesa yangu nitaipataje kwa Duce? Bora niende Jkt nimechoka na ghadhabu sasa
 
Kwa hiyo nisipoenda tabora pesa yangu nitaipataje kwa Duce? Bora niende Jkt nimechoka na ghadhabu sasa

mkuu hapo sahau unaweza ukakaa mwaka mzima ukifatilia swala hilo na bado ukose huo mkopo nimeshashuhudia baadhi wakisumbuliwa !! Ukitaka mkopo ufuate huko ulikopelekwa ukisubiri ukufuate itakuwa sawa na yule asiyekuwa nao!! Tatizo la hawa jamaa ukishatoka kwenye system tu tegemea usumbufu wa hali ya juu otherwise jipange!!
 
mkuu hapo sahau unaweza ukakaa mwaka mzima ukifatilia swala hilo na bado ukose huo mkopo nimeshashuhudia baadhi wakisumbuliwa !! Ukitaka mkopo ufuate huko ulikopelekwa ukisubiri ukufuate itakuwa sawa na yule asiyekuwa nao!! Tatizo la hawa jamaa ukishatoka kwenye system tu tegemea usumbufu wa hali ya juu otherwise jipange!!

Hiyo Kweli Asee
 
Back
Top Bottom