Wadau imaana kupata mkopo heslb,ni lanzima kwenda kule ukatoe chochote kitu,au?maana inazingua sana!inchi hii!sijui ni kiongozi kutoka wap,au chama gan ambaye atasema rushwa akuna,na ikawa kweli akuna!viongozi wa saiz wanaubili tu,rushwa akuna,lakini angalia real situation maofisi mbalimbali kama ayo heslb,ruahwa tuuuuuuuuuu,viongozi wetu awana makali!ni sawa na kisu butuuuuuuuuuuu!