Mkopo

neoo

Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
56
Reaction score
8
Naomba kuuliza. Atii ukiwa mwaka wa pili unaweza kuomba mkopo na ukapata? Au aiwezekani?
 
Naomba kuuliza. Atii ukiwa mwaka wa pili unaweza kuomba mkopo na ukapata? Au aiwezekani?

km sifa unazo za kupata mkopo unaweza omba tu kijana!!!..kwanini hukuomba 1st yr??
 
Naomba kuuliza. Atii ukiwa mwaka wa pili unaweza kuomba mkopo na ukapata? Au aiwezekani?
Swali zuri sana, japo naona wana JF hawajalielewa vizuri! Naona ni kweli kuna utata kwa wanaoendelea na masomo (mwaka wa pili na kuendelea) kuomba mkopo kama freshers kwa njia inayotumika; Maombi kwa njia ya Mtandao (OLAS), kwa kuwa hakuna Link inayoonesha ni wapi watu hao wanaweza kufuata na kuomba maombi hayo!
Pia ni rahisi kama utatumia njia ya Barua kupitia Posta, hiyo pia inakubalika ikiwa utaambatanisha na viambatanishi vinavyohitajika!!
Ikumbukwe pia Bodi inatambua kuwepo kwa mabadiliko hasa ya kiuchumi yanayojitokeza miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.. Kwa mfano; Mwanafunzi anaweza akaanza masomo ya shahada mwaka wa kwanza bila kuomba mkopo kwa kuwa ana imani ya kuwa na mtegemewa mwenye uwezo wa kumlipia ada pamoja na mahitaji mengine muhimu, na kwa bahati mbaya labda mtegemewa huyo akapoteza maisha wakati mwanafunzi huyo angali bado yupo masomoni, hapo mwanafunzi huyu ana nafasi kubwa ya kupata msaada wa kifedha toka Bodi ya Mikopo iwapo atawasilisha taarifa zake kwa usahihi!
Nawasilisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…