Mkosa hoja. . . .

Mtu humuoni, hakuoni lakini anadhani uko hapa kumkosesha yeye raha au kupambana nae. Kama mtu hapendi/kujadiliana ni vizuri akawa mtazamaji tu ili asisumbuliwe na mtu.

Kabisaaa...!! Ila ndio maana wanadamu tunatofautiana sana.Yote hayo ni cause of poor thinking capacity walionayo..
 
She's freaky. I'll start calling her 'Freak nasty' lol.

NN if you were whispering to him then i heard you!!..

That name sounds so more like a 'BadGirl On the move'..i'm not like that jaman,spare mi NN & The Boss..
Otherwise..i'm doing soo fine..How about you..?
 
NN if you were whispering to him then i heard you!!..

That name sounds so more like a 'BadGirl On the move'..i'm not like that jaman,spare mi NN & The Boss..
Otherwise..i'm doing soo fine..How about you..?

ha haa you are not a bad girl on the move...
you are 'an interesting girl that cause curiosity'...lol
 
Yeahh that too. . .
Sasa sijui hizo pesa zinapunguza udhaifu wa hoja yake au inakuaje.

Kuna watu ambao kama kwao ndo wenye sauti basi hata kwenye mijadala wanataka waogopwe, kama ni boss ofisini kwake basi atataka atawale hata jukwaani, hata kama katumia lugha mbaya hataki aambiwe.........au anakwambia 'do you know who Iam'.......hahahah sijui nani kamwambia kuwa cheo chake ndo kila kitu!!!
 

kwa mfano hapa nikiuliza hoja ya msingi haswa ni nini,kama sio kukosa hoja!nitakuwa mkosa hoja?
 
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake. Ukimwaga ugali mi nakomba mboga. Lakini kwa ufupi hapa Jf kuna mawazo elfu hamsini na ushee ambayo ni tofauti.
 
kwa mfano hapa nikiuliza hoja ya msingi haswa ni nini,kama sio kukosa hoja!nitakuwa mkosa hoja?

Kwa hiyo kama hakuna hoja ya msingi ndo tuseme we umeona hoja ya sekondari.
 
Mwingine utamuona anajisifia ooh mimi nina pesa, oo sijui my understanding capacity ni kubwa, mara ooh limekutouch.........dah!!

nani tena huyo au Benny McCarthy? Nalog off
 

Hahahaha. . .watu bana. Yani kutisha watu na "do you know who I am" aache kufanya huko mtaani wanakojali au hata kumtegemea aje kutisha hapa JF sehemu ambayo kila mtu kajileta mwenyewe?
 

afu wewe...
 

Na akimaliza kutapatapa huko kooote,
Atarudi na ID mpya na Avatar mpya na mbwembwe mpya....
Nadhani ni upande wa pili wa burudani wa JF.... kuangalia wapuuzi wanavyoweweseka hapa!
 

lizzy ebu basi edit kidogo hapo juu kwenye red,
maanake mmh
 
Hiki ni kiwango cha chini kabisa cha kukosa hoja. Mtu hata kufika hatua ya kukutishia yeye ni nani basi elewa kuwa kama ana pesa basi ni mwizi au muuza unga, kama ni mwanasiasa basi ni mchakachuaji, kama ni afisa basi kabebwa au "kabeba" hadi kufikia hapo alipo, kama ni "msomi" basi kamaliza mabanda bila ya kupata elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…