Mkosoaji Mashuhuri wa Serikali ya Sierra Leone auawa na Polisi

Mkosoaji Mashuhuri wa Serikali ya Sierra Leone auawa na Polisi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
1660720493001.png

Mkosoaji mashuhuri wa Serikali ya Rais Julius Maada Bio ameuawa wakati wa uvamizi wa polisi waliokuwa katika msako wa wahusika wa maandamano ya Wiki iliyopita, na kuzua wasiwasi mkubwa kuhusu mauaji ya kiholela na shutuma za kuwalenga watu wa upinzani

Kulingana na polisi, Hassan Dumbuya aliyekuwa mwanachama wa All People's Congress, aliuawa waliporushiana risasi na kundi la wahalifu katika mji mkuu Freetown

Rais Julius Maada Bio amekaririwa akisema kuwa maandamano hayo yalikuwa jaribio la kupindua Serikali yake na kwamba wahusika watakabiliwa na haki.

=====

A prominent critic of Sierra Leone's government of has been killed during a police raid, raising serious concerns about extrajudicial killings and accusations of targeting opposition figures.

It happened when officers were in the hideout of alleged suspects behind last week’s violent protests.

According to the police, Hassan Dumbuya - popularly known as Evangelist Samson and a member of the All People’s Congress - was killed when officers exchanged gunfire with a neighbourhood group in the capital Freetown.

Police also say they received intelligence that ex-civil war combatants were planning an attack, so they arrested four people and confiscated what they said was a light submachine gun.

President Julius Maada Bio has said that the protests were an attempt to overthrow his government and that the perpetrators will face justice.

Twenty-one civilians and five police officers were killed during the violent protests over the rising cost of basic goods. Rights groups have called for an independent investigation into the protests.

Others have paid tribute to Dumbuya, while disputing the police's version of events.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom