matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Ukristo no taasisi ya imani sio ya kisayansi. Mambo ya kisayansi yanahitaji ushahidi wa kugusika.
Ila mambo ya imani yanahitaji uamini kauli za Mungu bila kujali uhalisia.
Sasa hii kauli ya Maandiko ukiishika na kuiamini itakupa ujasiri wa kuoata chochote popote wakati wowote.
Itakupa nguvu ya subira ukiamini hata usivyonavyo unavyo wakati unasubiri viwe halisi (manifestation).
Maandiko yanasema
Wafilipi 4:19
Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
Unapoamka asubuhi ingiq duniani ukiwa na plenty mentality. Yaani Mungu hatakupungukia. Umejazwa kila unachokihitaji bila kujali kinaonekana au hakionekani. Hii itakufanya usiwe na wasiwasi wa maisha, na itakupa utulivu wa kupangilia mambo yako.
Ni haya tu.
Ila mambo ya imani yanahitaji uamini kauli za Mungu bila kujali uhalisia.
Sasa hii kauli ya Maandiko ukiishika na kuiamini itakupa ujasiri wa kuoata chochote popote wakati wowote.
Itakupa nguvu ya subira ukiamini hata usivyonavyo unavyo wakati unasubiri viwe halisi (manifestation).
Maandiko yanasema
Wafilipi 4:19
Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
Unapoamka asubuhi ingiq duniani ukiwa na plenty mentality. Yaani Mungu hatakupungukia. Umejazwa kila unachokihitaji bila kujali kinaonekana au hakionekani. Hii itakufanya usiwe na wasiwasi wa maisha, na itakupa utulivu wa kupangilia mambo yako.
Ni haya tu.