Bunge la Wananchi
Member
- Jan 30, 2023
- 16
- 14
MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Kennan Kihongosi amekalia kuti kavu baada ya kushindwa kusimamia shughuli za Serikali ndani ya Mkoa huo na kutumia muda kujihusisha na makundi ya kisiasa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bariadi.
Tetesi zinazoenea ni kwamba mkuu huyo wa mkoa ameshagombana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu baada ya mwenyekiti huyo kumaliza mgomo wa madereva wa daladala huku yeye mkuu wa mkoa akishindwa kumaliza mgomo huo na ikidaiwa kuwa ameacha shughuli za serikali na muda mwingi anautumia kwenye makundi ya kisiasa ya ubunge bariadi.
Kutokana na umahiri huo wa mwenyekiti wa mkoa wa simiyu kuna tetesi huenda akateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kama walivyoteuliwa wenyeviti wa ccm wa mikoa ya mwanza na mbeya ambao waliteuliwa nafasi za ukuu wa wilaya.
View: https://youtu.be/iCVavE_tW-I?si=MSrtLXPUYPztgQJQ
Tetesi zinazoenea ni kwamba mkuu huyo wa mkoa ameshagombana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu baada ya mwenyekiti huyo kumaliza mgomo wa madereva wa daladala huku yeye mkuu wa mkoa akishindwa kumaliza mgomo huo na ikidaiwa kuwa ameacha shughuli za serikali na muda mwingi anautumia kwenye makundi ya kisiasa ya ubunge bariadi.
Kutokana na umahiri huo wa mwenyekiti wa mkoa wa simiyu kuna tetesi huenda akateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kama walivyoteuliwa wenyeviti wa ccm wa mikoa ya mwanza na mbeya ambao waliteuliwa nafasi za ukuu wa wilaya.
View: https://youtu.be/iCVavE_tW-I?si=MSrtLXPUYPztgQJQ