😝😝😝😝😝kwamba MBENGO TV[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna msanii mwenye international collable na wasanii wakubwa Kama yy.nguvu inayotumia kutukumbusha ukubwa wa diamondplatnumz ndio inatupa mashaka.
hakuna msanii mwenye view nyingi youtube.
hakuna msanii mwenye RR cullinan
hakuna msanii mwenye pesa nyingi bank
hakuna msanii mwenye leble kubwa kama wcb
isipokuwa diamond platnums,ila sasa daaaahView attachment 2031427
Ume-elaborate fresh kabisaAnaposema hakuna wa kumshindanisha anatakiwa aweke wazi hakuna kumshindanisha kwenye kipengele gani
Hakuna msanii mwenye international collable na wasanii wakubwa Kama yy.
Wewe unasema diamond sio super star ukiwa wapi?Diamond ni super star pekee anaeiwakilisha tz...Tembea uone na usikie sio upo huko Tanzania halafu unajifanya unajuaStar ni kama ki tiny tu kilicho jichomoza angani kinaonekana kwa mbali sana na tena kwa kufifia fifia na kukiona sometimes mpaka ufumbe jicho moja au utumie binocular ya galileo
Afu superstar hizi ndo zile nyota za kibishi ambazo hadi mchana zinaonekana
Diamond sio super star ni star, super star ni ndoto ambayo anaota kuja kuwa hivyo hapo mbeleniWewe unasema diamond sio super star ukiwa wapi?Diamond ni super star pekee anaeiwakilisha tz...Tembea uone na usikie sio upo huko Tanzania halafu unajifanya unajua
Nachojua hakuna msanii nchini aliyewahi kustahimili kufanya intavyuu katika kipindi cha kiangazi jijini Dar es Salaam huku amevaa nguo nzito zinazofaa kwa matumizi kwenye nchi zenye baridi kali kwa muda mrefu zaidi ya Harmonzier...hiyo rekodi hakuna mtu mwingine anayeweza kuivunja🤣nguvu inayotumia kutukumbusha ukubwa wa diamondplatnumz ndio inatupa mashaka.
hakuna msanii mwenye view nyingi youtube.
hakuna msanii mwenye RR cullinan
hakuna msanii mwenye pesa nyingi bank
hakuna msanii mwenye leble kubwa kama wcb
isipokuwa diamond platnums,ila sasa daaaahView attachment 2031427