Mkubwa Fella afunguka namna milioni 50 za Kayumba zilivyotumbuliwa

Hawa jamaa ni matapeli Sana ndo maana kina nature mb dog kasim mganga na Keisha pamoja na z an to walikuwa hawalipwi pesa zao wanadi had I kesho na ukiondoka kwenye himaya yao lazima wakupoteze
 
Hawa jamaa ni matapeli Sana ndo maana kina nature mb dog kasim mganga na Keisha pamoja na z an to walikuwa hawalipwi pesa zao wanadi had I kesho na ukiondoka kwenye himaya yao lazima wakupoteze
hao waliokimbia mbona ndio waliofulia ?
 
Labda Fella kapiga cha huu, dogo hajui hata bei ya baiskeli mission town lazima wale ganji kubwa
Fella is like a father to him na hana njaa ndogo ndogo kama hizo, japokuwa ana njaa
 
hapo nimekuelewa, walimkimbia walihisi Felaa anawanyonya sana, wakaondoka wakamsema sana kwenye media, felaa alikuwa anafanya kazi kubwa kuwasimamia na kuwatafutia shows kwa hiyo alikuwa anastahili kamisheni yake, mbona waliondoka halafu wakapotea kama tatizo lilikuwa ni fella? maana ilitarajiwa wapae zaidi kwa sababu wameondokana na kikwazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…