Mkubwa na mwanae walikuwa wanapunguzia wapi vibubu vyao vikijaa???

Mambembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
2,217
Reaction score
2,970
Wakuu nawasikiliza wakina papii kocha now wakiwa wanahojiwa na clouds fm,yaan nataman ningewaulizaa walivyokuwa huko segereaa waliwezaje kukaa kwa miaka 14 bilaa kufanya mapenzi na walipopata hamu walifanyaje??au ndo kuvumiliaaa??
Hebu wanaume mniambiee hivi inawezekana kweli???
 
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo
 
Ndo hivyo hivyo ilivyoelewaa manake mtoto huyu kilaa kona yupo matakoni kunifatilia sasa namtafutiaaa siku nimpe ahangaike nayo
Unaanzisha vithread vyako uchwara ukijibiwa unafatiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…