Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,217
- 2,970
Wakuu nawasikiliza wakina papii kocha now wakiwa wanahojiwa na clouds fm,yaan nataman ningewaulizaa walivyokuwa huko segereaa waliwezaje kukaa kwa miaka 14 bilaa kufanya mapenzi na walipopata hamu walifanyaje??au ndo kuvumiliaaa??
Hebu wanaume mniambiee hivi inawezekana kweli???
Hebu wanaume mniambiee hivi inawezekana kweli???