Mkuchika ni Mzee Kilaza anayetumika Yanga na watu flani kwa Maslahi yao

Mkuchika ni Mzee Kilaza anayetumika Yanga na watu flani kwa Maslahi yao

Yanga ni zamu yenu wachumia tumbo kuwavuruga... Msipostuka mtadrop sana
 
Timu ya wananchi au shamba la bibi .Endeleeni kupambana na hali yenu
 
yanga mtu pekee atakaeiweza ni manji wengine wote ni wachumia tumbo
Nyie yanga ndiyo maana mnaitwa vyura vyurani huyu mkuchika aliposema manji anarudi tarehe 15 kama sikosei mlimshangalia, lakini mzee akilimali alimpinga akasema huyu mkuchika sio mkweli, mlimtukana sana mzee akilimali kwa kumpinga mkuchika.
Leo nimeamini huko yanga mwenye akili ni mzee akilimali tu
 

Attachments

Back
Top Bottom