Mkude akaribia kutua Yanga

Soma tahariri ya Habarileo kuhusu TFF na timu fulani na mwenendo wa ligi ndio utaelewa kwanini timu zinalalamika.
kwani tahariri hiyo kaandika nani?Si mtu kama we,tena inawezekana akawa mbumbumbu fc kisirisiri
 
Anaweza akawa mpiga magoti kwa baniani lakini mpenda haki.
 

80M, kwa mpira gani haswa ??
Hakuna viongozi siku hizi na hizi tabia wameziendekeza wenyewe....

Huyo Singano aliondoka na kaishia wapi zaidi ya kuchoma mahindi !!
 
Mkubwa anadaiwa bilioni 13 au mali zinapigwa mnada wewe umekalia kushahadia ya wenzako. Tembeza bakuli kama enzi za Matunda. Wakati huu sio wa mchezo. OCH shauri yako.
Kwani wewe ushamalizana na bodi ya mikopo maana jina lako lipo kwenye list ya wadaiwa sugu?
 
ayabaaanaa
 
Sio mbaya akienda, yanga naona inakuwa simba B sasa kuanzia kwa Barthez, kessy, mkude na tambwe, hapo tayari idara zote covered. Kipa, beki, kiungo na straika.
Hata buyern munchen ni dotmund b hvyohvyo
 
Uongozi wa Simba ni tatizo sana mtu mmoja ndo anafanya maamuzi ya mchezaji gani anafaa na yupi hafai
 
Mbona kajipeleka mwenyewe kambini? Wachezaji wakibongo uelewa wao mdogo sana.Anazima simu kisha anajianika magazetini.Simba si mkude wapo wengi wenye mapenzi na timu kama anaipenda vyura aende tu.
 
Mbona kajipeleka mwenyewe kambini? Wachezaji wakibongo uelewa wao mdogo sana.Anazima simu kisha anajianika magazetini.Simba si mkude wapo wengi wenye mapenzi na timu kama anaipenda vyura aende tu.
Safi sana mkuu..
Anaye penda vyura FC aende, timu yako kusaini mkataba tu eti unataka hela kama unanunuliwa kutoka timu nyingine ...!?
 
Misaada itapungua akianza kulipa deni la bilioni 13 au mali ziuzwe. Isije ikawa deni analowadai la bilioni 11 likafufuka. Mtaanza kupitisha bakuli kama enzi za Mzee Matunda. Mlichanga mpaka maharage leo mmesahau. Pesa za sponsor zitakatika soon.
Jamaa ana worth $ 400 m zinazojulikana Forbes
 
Uongozi wa Simba ni tatizo sana mtu mmoja ndo anafanya maamuzi ya mchezaji gani anafaa na yupi hafai
Afadhali ya Simba. Yanga mtu mmoja ndio analia maamuzi ya kila kitu.Akipiga chafya wanayanga wote wanashikwa na mafua. Akitishia kujiuzulu majitu mazima yanampigia magoti.Toeni boriti kwenye macho yenu kabla ya kuzungumzia vibanzi kwenye macho ya wengine.
 
Ila saa zingine wachezaji licha ya kutaka pesa nyingi ambayo ni haki yao ludai ila waangaliage na wanakoenda je wana nafasi?? Kwa hiyo anaenda kumuweka benchi Kamusoko?? NEVER!!
 
Jamaa ana worth $ 400 m zinazojulikana Forbes
Ajabu kwani ndio anakuwa tajiri wa kwanza aliyepo kwenye Forbes list kutupiwa nje vifaa vya ofisi zake kwa kudaiwa kodi ya pango.
 
Mkuu ila sasa Yanga wanakusanya makombe tu kila msimu hao simba wanabaki kufukuza wachezaji na makombe wanasikia kwa wenzao tu
 
Aliyewaita mbumbumbu f.c wala hakukosea team kila siku inamigogoro na wachezaji wake
 
Mkude angetulia angekuja kuwa mchezaji mkubwa sana ila kwa tamaa zake mpira ndio umeishia hapo kama Kessy! Kama ni kwenda aende hana dhamani ya milioni 80
Siyo DHAMANI ni THAMANI.... Rage hakukosea kuwaiteni MBUMBUMBU
 
Endeleeni kuamini kuwa mtakuwa Mabingwa wa LigiKuu msimu huu ikiwa wachezaji wameshasoma alama za nyakati.....
Mbona inaelekea una uchungu sana Simba kutokuwa bingwa!? Si ndio vizuri Simba idhoofike ili timu yako ya Yanga isipate shida kuwa bingwa!? Mchukueni ninyi Yanga. Tena buuure.
 
Mbona inaelekea una uchungu sana Simba kutokuwa bingwa!? Si ndio vizuri Simba idhoofike ili timu yako ya Yanga isipate shida kuwa bingwa!? Mchukueni ninyi Yanga. Tena buuure.
Tena uchungu wa aina ya wanawake wanapojifungua. Unashangaa mtu povu na jasho linamtoka na huku anakwambia hiyo timu haipendi. Ikiacha mchezaji analalama na kuanzisha post chungu nzima. Inashangaza sana. Watu wapo chumbani kwao wewe upo nje unataka kiuno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…