kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
- Thread starter
- #21
kweli kuna watu mnaangaliaga nyuma ya TVKwakweli mimi ni simba ila huyu mkude si wa kucheza taifa
Hata pale simba hana kiwango cha kucheza, huenda ni bahati ilimbeba
Ukiongeza na nidhamu ndogo, ndio hafai kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app