Ilitokea pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyenifundisha MATHS enzi zileee halafu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda Makuburi.
“Nenda mbele kama 1.2 KM hivi kisha kata kushoto, ila hakikisha angle inakuwa ni 30.5 Kusini Mashariki. Kisha tumia pythagoras na hakikisha una four figure ili kupata thamani ya angle.”
Mwalimu alisonya na kuondoka. Sijui wakati ananichapa akitaka nifaulu somo lake alifikiri sifa!?…