Mkulima halisi from Katavi

Mkulima halisi from Katavi

Karibu sana. Huku Jamii Forums kila mtu ana hela sana. Hakuna mkulima [emoji38]
 
Kwanini ya mbiga Iko bei juu?
Mbuga heka moja makadilio ya juu Watu wanapata Hadi gunia 25-30. Gunia moja lina simamia 90k ivi. 25*90=2250000. Kwaiyo tukija kwenye swali lako, Bei inakua juu kwa sababu mapato nayo yapo juu.

B4
 
Mbuga heka moja makadilio ya juu Watu wanapata Hadi gunia 25-30. Gunia moja lina simamia 90k ivi. 25*90=2250000. Kwaiyo tukija kwenye swali lako, Bei inakua juu kwa sababu mapato nayo yapo juu.

B4
iko vizur iyo,mahind mwaka huu wataanza kupanda tena msimu ghani?
 
Back
Top Bottom