Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
tumekuelewa Muheshimiwa
Mwalim wangu wa Physics akija keshachapa pombe vibaya sana
hata jina nishamsahau ye alikuwa anaongea na ubao tu
Mwalim wangu wa Physics akija keshachapa pombe vibaya sana
hata jina nishamsahau ye alikuwa anaongea na ubao tu
alikuwa ni wa kike??
si tulikuwa na waalimu wawili bana! kila siku ni kufundisha reproduction tu!!
sijui walikua wanawaza nini wale walimu!
mmoja wa kike, mwingine wa kiume!
n ile shule ya mission?
mwendi wa shebby?