Judgement hufai kabisa wewe!yani sijui ilikuwaje sikona hii post yako toka jumapili!yani nimechekaaaje!mpka watu wananishangaa hapa!Mwalimu Philipo Mulugo kwa sasa anafundisha Zimbabwe Ireland, alinifundisha formular ya kuchochea kuni mbichi na zikaivisha .
pole sana, duh mwl sheba na maisori nawakumbuka sana. ila umemsahau mwalimu rugumba chekechea duh nakumbuka uji ulikuwa unapikiwa kwa mwl mkuu maduka!
Mrs Masinde(R.I.P)-first teacher,mwl Francis civics P5&6,Mwl Marwa,Mr Joseph(Doctor),Mwl chagula,Mwl sawaki-waalimu wa Arusha School,enzi hizo.
Mr Dudu/Lobilo,Mwl Protii,Mwl Mafikiri-Economix,Mwl Malikita(R.I.P),Mkemia(maskio),Miss Rihanna(madam ushungi),Mwl Simbano-Umbwe boyz
***hao highlighted in RED,ni wakali hakuna mfano,waliowahi kupitia huko wanafahamu.
platozoom me niliimba kwaya tena sauti ya pili. namkumbuka sana mwl kiganja. unamzungumzia mwl makinda? nayakumbuka maandazi na barafu za mwl maisori. vp unakumbuka vibalagara vya mwl sheba?
mwl sapa pia unamkumbuka na mwl zakaria kwny somo la kilimo?
yeah, namkumbuka mwl madomo. unamkumbuka mwl flan hivi alikuwa anakaa starehe tulimtungia jina kinjekitile ngwale alikuwa anakimbia kweli tena alikuwa mwl wa riadha. vp mwl onyango mzee wa kwiliii. . . . platozoom
Tena nilitaka nikuulize huyo Ngwale jina lake.......halafu nasikia alikuwa anapiga msuba si mchezo na akili zake kama zimepinda flani hivi........Na niliskia walishawahi kuzichapa na Kiganja.Mwalimu Onyango kanifundisha English pia.
Yupo pia Mwalimu Misana alikuwa na mtoto wake anaitwa Eda unamkumbuka?
duh,ngwale hata jina lake cmkumbuki ni kwel alikuwa anapiga ms. misana si alikuwa mwl mkuu msaidizi enzi za maduka. afu wakazusha et misana na maduka walikuwa wpnz lol!