Mkungu wa ndizi wa Q-Chillah na T.I.D umerudisha heshima ya mziki wetu wa nyumbani

Kwenye hiko kibao kizima ulichopost mi nimependa hapo ulipoumwa kiuno tu...mhh balaha hiyo
Hahahahahaaa dah basi tu.
Ninavyokujua ningeshangaa kama ungeongelea kingine tofauti na hicho....
 
wewe nawe unaelekea kuwa kicheche.... sasa ule wimbo ndo nini... wacheze wasasambuaji tu huko... huku bara hizo hazitufai.
 
wewe nawe unaelekea kuwa kicheche.... sasa ule wimbo ndo nini... wacheze wasasambuaji tu huko... huku bara hizo hazitufai.
Huwezi amini mimi sio mdau wa taarab wala miduara hadi itokee tu.
Na sasambu lenyewe ni private hadharani siwezi....
Ila wimbo uko poa bwana.
Mbona Nasema Nawe wa Diamond hukuuponda?
 
Huwezi amini mimi sio mdau wa taarab wala miduara hadi itokee tu.
Na sasambu lenyewe ni private hadharani siwezi....
Ila wimbo uko poa bwana.
Mbona Nasema Nawe wa Diamond hukuuponda?

Did u ask for my opinion!?
 
Chillah njoo huku kunawatu wanaupenda mkunguwako...sijui umebeba ndizi mzuzu au mshale??
 
Huwezi amini mimi sio mdau wa taarab wala miduara hadi itokee tu.
Na sasambu lenyewe ni private hadharani siwezi....
Ila wimbo uko poa bwana.
Mbona Nasema Nawe wa Diamond hukuuponda?
Wewe ni Mmanyema?
 

Hebu kirushe humu mwenzako nami nifaidi uhondo
 
cc @DALA
Download hapa mkuu,enjoy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…