Mkungu wa ndizi wa Q-Chillah na T.I.D umerudisha heshima ya mziki wetu wa nyumbani

Mkungu wa ndizi wa Q-Chillah na T.I.D umerudisha heshima ya mziki wetu wa nyumbani

Q chilla toka alipoanza kuitoa "For You" tayari kasharudi kikamilifu katika mzki huu wa ushindani...Ngoja nianze kuitafuta youtube
 
Tafsiri ya uo wimbo hasa neno "mkungu wa ndizi" ni nini?
Hahahahaaa hata mimi nimetafakari sana hilo mkuu.
Ila kwani kuna fumbo gani hapo?
Mkungu wa ndizi si 'unajulikana'?
 
Ngoma ya ukweli..kichupa inabidi kiwe cha kiswazi ndo kitapendeza..
 
Sure..Niliuelewa since day one..Uko Poa...Umeelewa mkungu wa ndizi ana maana gani?
Mhhhhhh,nimechekecha akili naona yatakuwa ni yale mambo yetu yaleeeee....hahahahaa
 
Watu kweli uelewa ni kazi ndo maana mnasoma wote darasani wanafauru wachache yeye anasema wimbo wa chilla na tid umerudisha heshima wewe unaulizia video mara tuwekee link ya video wewe ili ujue wimbo ni mkali mpaka uone video yake wimbo mkali anaamaanisha utunzi wa mashairi aina ya midundo iliyotumika na dogfather kashawaharibu baada ya kusema dah wimbo wako mzuri saivi mnasema video yako nzuri vp kuhusu audio c nzuri c kila ngoma iwe na video hapa anazungumzia single mpya ya Q Chilla ft Tid inaitwa mkungu wa ndizi kama bado ujaisikiliza link hii hapa http://djkidemnyama.blogspot.com/2015/11/new-music-audio-q-chilla-ft-tid-mkungu.html?m=1

= wanafaulu
= godfather

= sasahivi
= si


Pia jifunze kuweka vituo kama koma, alama ya mshangao au nukta. Hapa tunaona hata na wewe uelewa wako bado ni mdogo..
 
Mkuu mambo ya ubize lol..
Nausikilza hapa, narudia tena ili nilete mrejesho
Poa..Uje na lines mbili tatu ulizozipenda..Kwa ubazazi wako najua tu kuna lines zitakuwa zimekuvutia
 
Hebu tuachane na haya mambo ya Kiba vs Diamond kwanza tuangalie wanamuziki/wasanii wetu wengine wanafanya nini.

Binafsi nimependezwa sana na kibao cha Q-Chillah akishirikiana na mwenzie T.I.D ambao awali walikuwa wanaunda kundi la Top Band kabla ya kuachana na kila mtu kufanya mziki kivyake (Solo).
Sasa wamerejea na kutoa kibao hiki matata ambacho kimenitia wazimu kabisa maana hapa tu ninapoandika hii post kiuno kinauma kwa kuserebuka....lol

Kibao hiki hakika kimerejesha hadhi ya mziki wetu wa nyumbani (mduara) na kiukweli Q- Chillah nimekuvulia kofia kuwa wewe ndio MKALI WA HIZI KAZI.
Sio kwa kulalamika kule.....umesema wanakuita Sheitwani nami nakuita Ibilisi kabisa.

Kama kuna mtu ambaye hajasikiliza hiki kibao kakosa mengi,hakika UTAKIPENDA TU!

Mie hiki kibao ndio my favourite song sasa......
"Mtoto mdogo mdogo,kabeba mkungu wa ndizi....omamaa omaaa eeeeeh"
Acha kabisa.
Mbona sio mzuri sasa? upuuzi tu
 
Poa..Uje na lines mbili tatu ulizozipenda..Kwa ubazazi wako najua tu kuna lines zitakuwa zimekuvutia
Ha haaaa

Mapenzi majani huota popoteeeeee....

Mkuu ubazaz bado siku mbili tu nauacha


Cc @nifah
 
Hahahahaaa hata mimi nimetafakari sana hilo mkuu.
Ila kwani kuna fumbo gani hapo?
Mkungu wa ndizi si 'unajulikana'?
mkungu wa ndizi kwa tafsiri aliyoitoa chilla wakati anatambulisha ngoma ni (fungasho/hips)
 
Ha haaaa

Mapenzi majani huota popoteeeeee....

Mkuu ubazaz bado siku mbili tu nauacha


Cc @nifah
Mimi nimependa pale
Ninayempenda mimi bado hajazaliwa......
Na anavyolalamika mtoto mdogo mdogo kabeba mkungu wa ndizi....daaah!
 
Back
Top Bottom