Kupanga ni kuamua, lara 1 unaogopa kuweka mali nyingine kisa TRA huo ni ushahidi tosha kwamba kuna utapeli mwingi, dhuluma na ukandamizaji ulifanyika kulimbikiza hivyo alivyopata. Kuna watu wanapenda kuongelea mafanikio lakini ukweli unabakia kuwa markets nchini bila hujuma huwezi kuwa mega-enterpreneur. Kama mafanikio yanacost dhuluma na fitina lets stay in the middle class.
Usijidanganye kila mtu anajua siri ya jinsi alivyopata hela,hata sie uwa tunajidanganya mtaani kwamba bakharesa alianza kushona viatu magomeni,Siri anaijua mwenyewe na si lara 1 take it from me,matajiri wengi wanajua take-off yao ya jinsi walivyopata hela sie wa nje tunaona zile vibizna vyake lkn hauwezi jua labda kafukia sana miguu ya albino(Kova sorry sio uchochezi huu).
Agricultural products, na Income generated from Biological Assets hazina ushuru kwa Tanzania, Unless zimefanyiwa further processing. TRA hatuhusiki hapa.
lara 1 naona umeamua kumuunga mkono bwana ruge na kampeni yake ya twenzetu ili kutumia fursa kupitia mkurabita na mkukuta pia andaa mchakato ambayo sio mtambuka ili target zifike haraka
kwa hiyo unataka niamini kuwa kampuni inayojishughulisha na kilimo hailipi income tax? Halafu kodi nyingine stahiki kama PAYE za wafanyakazi wa huyo jamaa nazo zimesamehewa? Kati ya taasisi zinazorudisha maendeleo yetu nyuma TRA mnaongoza hamkusanyi kodi kwa loopholes za kipuuzi.
Acha kumtuhumu mtu nyeti wa nchi hii! Namna hii mtataka hadi Hausigelo na Shamba boy wakatwe PAYE!
hao watu nyeti unaowaongelea wanakandamiza haki za wengine, hao wafanyakazi wanaompa zaidi ya 1 million per day, wanayo haki kulipwa stahiki zao ikiwamo kuwekewa àkiba nssf na kutoa mchango wao kwa taifa. Mbona cleaners walioajiriwa wanalipa kodi na kuwekewa share zao nssf? Usishabikie unyonyaji kwa wengine kwa kigezo cha investment na returns kubwa. Fanya biashara halali
Pia washauri vijana watakaokimbilia kufuga kwa wasifungie ming'ombe yao kwenye nyumba wanazoishi, harufu ya mbolea ya mifugo sio nzuri kwa watoto. Ukiamua kufuga ingia zako Mkuranga huko nunua hata ekari mbili peleka mifugo huko. Unakuta mtu anafuga ng'ombe wa maziwa SINZA, how come?Siri ni kufuga Kisasa Baaaaaaaaaaaaaaass! Ngombe ziko pale, na biashara yake kubwa ni Maziwa, mbuzi, kuku za kienyeji na mayai!
NWala hana makuuu!
Wala sio unyonyaji! Hizi zama za biashara huru! Wala hulazimishwi kufanywa mtumwa! Mnakubaliana tu kwa hiari.
Mtu anakwambia mimi natoa hii 40000 kwa mwezi haikufai nikutakie maisha mema! Unapima tu unafanya. Ukigoma wakija wenzio wanafanya fasta!
MAMBO YA CAPITALISM HAYO! Mtu ana degree analipwa 200,000 akifikiria kukaa nyumbani anaona bora afanye
watu wengi wanateseka leo kwa mawazo kama yako. Hivi unajua kwa malipo hayo familia ya huyo mtu inaishije?
Hii story mbona ina gaps nyingi sana.
Miaka ya tisini Kibaha picha ya ndege hakukuwa na shughuli yoyote ya wizara ya kumfanya mtumishi wa wizara ahamishiwe.
Miaka ya tisini picha vitu pekee vya serikali vilikuwa shule ya msingi na uwanja wa michezo ambao ni unfinished mpaka leo, uko eneo la Mkuza. Sasa huyu alihamishiwa picha ya ndege akafanye nini?
Miaka ya tisini mpaka early 90s wafugaji wakubwa wa Kibaha walikuwa ni 1. Mzee Kisharuli toka Singida lakini mkewe ni nesi sio mwalimu na mzee sio milionea. 2. Mzee Kiongoli (R.I.P) ambaye ni mtu wa Rufiji ila mke wake ndio mtu wa Singida na sio mwalimu. Huyu familia yake ni tajiri sana sasa hivi lakini sio kupitia mifugo.
Wazee hawa wawili mabucha yao yalifahamika na wakazi wote wa Kibaha.
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kupata hekari 10,000!!! Mashamba yenye ukubwa unaokaribiana na huo Kibaha yaligawiwa mwishoni mwa miaka ya 80. Tungejua jina la kijiji ingesaidia kuhakiki. Mashamba mengi ya ufugaji yalikuwa maeneo ya Pangani ambako hakuna mtu anayefit hii description. Kuna ranch kubwa iko Mpiji lakini iinamilikiwa na polisi mstaafu na hafit kwenye hii description iliyotolewa.
Naomba nieleweke kuwa sijasema kuwa story sio ya ukweli ila ina gaps nyingi ambazo zinapunguza uhalisia wa kinachoandikwa.
Usijidanganye kila mtu anajua siri ya jinsi alivyopata hela,hata sie uwa tunajidanganya mtaani kwamba bakharesa alianza kushona viatu magomeni,Siri anaijua mwenyewe na si lara 1 take it from me,matajiri wengi wanajua take-off yao ya jinsi walivyopata hela sie wa nje tunaona zile vibizna vyake lkn hauwezi jua labda kafukia sana miguu ya albino(Kova sorry sio uchochezi huu).
Pia washauri vijana watakaokimbilia kufuga kwa wasifungie ming'ombe yao kwenye nyumba wanazoishi, harufu ya mbolea ya mifugo sio nzuri kwa watoto. Ukiamua kufuga ingia zako Mkuranga huko nunua hata ekari mbili peleka mifugo huko. Unakuta mtu anafuga ng'ombe wa maziwa SINZA, how come?
Kwa wale wasiopenda utajiri wa haraka haraka twendeni tukapande MITIKI, ukipanda miti ya mitiki leo utataabika kwa miaka 15 tu baada ya hapo wewe unakuwa unakula kiulaini tu. Fursa ziko nyingi nchi hii tatizo hatujishugulishi, wote tunarundikana kwenye foleni asubuhi na jioni kwenda mjini badala ya kupishana wengine wanaenda mjini wengine tunaenda shambani.
mbona unaponda sana waajiriwa, na wakati huo huo unahimiza watu wawekeze, je kwani hao wawekezaji hawatahitaji wafanyakazi (kufanya wengine watumwa wao kama wewe unavyowaita wafanyakazi kuwa ni watumwa). Mimi nikijua hii biashara ni yako huwezi kuniajiri kwa kuwa unafikiri waajiriwa ni watumwawala sio unyonyaji! Hizi zama za biashara huru! Wala hulazimishwi kufanywa mtumwa! Mnakubaliana tu kwa hiari.
Mtu anakwambia mimi natoa hii 40000 kwa mwezi haikufai nikutakie maisha mema! Unapima tu unafanya. Ukigoma wakija wenzio wanafanya fasta!
Mambo ya capitalism hayo! Mtu ana degree analipwa 200,000 akifikiria kukaa nyumbani anaona bora afanye