MKURABITA: Wasomi Kutoka Kimaisha Si Lazima Uwe Mchuuzi... Njia za Kisomi Ni Kama Hizi!

MKURABITA: Wasomi Kutoka Kimaisha Si Lazima Uwe Mchuuzi... Njia za Kisomi Ni Kama Hizi!

well said, congrats, kweli hatuwezi endelea kwa kulalamika we have to take a course of action so as the result to happen! people must change their thinking to change their lives!!
 
lala ur the best i wish nifike ofisini kwako ili tuongee business,manake kuna kama milioni 100 ninayo ila sijui pa kuipeleka i need a person like u to do business with
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!

Episode 2!

Niliposema naanza vita vya kupambana na fikra za umasikini na mawazo mgando watu walijua labda nabeep! ama nimekurupuka, ama nitakata tamaaaa! Nooooooooo! Im here to stay! I LOVE THE CHALLANGE!

Nimepata response mbali mbali kwenye episode zilizopita! Napenda kuwakumbusha kuwa freedom of speech n opinion, haya ni mawazo yangu, simlazimishi ama kumshurutisha mtu kuyakubali! Ila nayatoa kwa moyo mmoja kwa wale ambao labda hawakuwahi kungali mambo in a bigger picture kama hivi. Siwezi kutoa mamboyote kwa mkupuo! Noooo! Kidogo kidogo tunakwnda!

Mada iliyopita niliposema watu wawekeze automatically akili za wengi zikarukia kufungua fremu! Yaani wasomi wakanilaanije sasa? Yaani binti na PHD zetu unadai tukauze lonya kariakoo? Unbelievable! Chonde chonde wasomi wa taifa hili si mimi ni mgongano wa kimantiki tu! Leo nagonga ikulu kwenu sasa kwenye mambo yenu ya INTRAPRENUERSHIP.

Naomba kwanza kuwapa FACT kuwa believe it or not kuna wabongo Wengi (My be kiasi), bongo hii hii Darisalama wanalipwa WHOOPING 15MILLIONS AND ABOVE TSH/ MONTH!!!!!!!!!!! Anhaaaaaaaaaaaa! Tena sio ma C.E.O. Na sio dili ni mshahara halali! Najua mtabisha na kuona ni impossible well IT IS A FACT!!!!!!!! Kama huamini chungulia TRA PAYE za watu ndo kidogo unaweza stuka Game Imechange!!!!!!!!!! Jiulize how much are you making? (Sio kimajungu ni hatua ya 1 kubadilisha mambo)

LIFE IS TOO FAST! In a flash unajikuta unaretire! Jiulize huu mwaka wa ngapi upo kazini? Umepanda vyeo vingapi? Na bila external forces kwa acessment ya leo hii kuna dalili ukaishia cheo gani? Ukipata majibu chukua hatua!!!!!!!!

All im sayin is simple!

1. Have a plan and work on the plan to get there! Watu wngi kazini wamerizika, wanajiachia tu. Hatwendi hivo. Have a clear concrete plan labda Mimi lazima niwe CFO, iwe isiwe. Hapo ndo una mwaka tu kazini unaweka lengo hilo. Sasa u CFO hauji kwa kumuomba Mungu tu! Jitihada baba jitihada! Anza na kukusanya magamba hayo ya kuwa CFO, usikimbie umande komaa na mitihani ya bodi. Mind you maofisa mko wengi na kila mwaka wanaajiriwa, so YOU HAVE TO STAND OUT FROM THE REST!!!!!!!! Hapa ndo watu wanaamua kuloga sasa ili kupata nyota! Ila ukijituma na kuwa different utaonekana tu. Baada ya kupata hivo vyeti anza kujionesha una uwezo wa hio post ya CFO kwa kugoole mambo yanayotokea duniani ambapo bado hapo kwenu hawajayajua. Kwenye vikao unatoa mapendekezo hatariiiiiii! Kila mtu anakuona sio mwepesi! Hivo hivo automatically watu wanaanza kukupendekeza wenyewe uchukue nafasi. Ukikaa whining shirika ili wanawekana wenyewe na ndugu zao, wenyewe hao walitoka vijijini kama wewe, so you can get there if you decide.

Ukizubaa mda umeenda, majukumu yamekuzidi, hujasoma, vyeti huna, kazi yenyewe huielewi elewi vizuri, ndo unaweka mikono kichwani! Yesu Wangu na kuanza kushinda kwenye maombi upande cheo! (Kuomba is a good thing by the way but not practical coz unaweza kupewa umezeeka)

Kwenye INTRAPRENEURSHIP mafanikio hayaji by chance ni HARDWORK na COMPEPETION tu! Saivi watoto wadogo wana Deadly Ambitions. I got a friend kamaliza 2010, Keshapata CPA, anamalizia ACCA, na mwaka huu anagraduate MBA, na yupo kazinii! GAME IMECHANGE COMPLATELY!!!!!!!!! TIMING AT ITS HIGHEST!!!!!!!!

2.LOOK AT THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!! Start your own companies and make them sucessfull! Ukiwa HR jipange ufungue HR Consultant firm, mnajiunga hata 10. Kama ni Engineer be a Consultant. Kama ni Dr kwenye mradi start your own project. Tusirizike! Kupewa 3m na 10 yrs of experiance is c.rap . I know people who started their little things lakini now they are UNTOUCHABLES!!!!!!!!!! Alifanya kwa mtu, kajikusanya kaanza chake. I have repect for Engineers wanajitahidi sana kuanzisha makampuni yao. Auditors kibao walikuwa kwenye payroll saivi ni OWNERS!!!!!!
Malecturer wamezinduka wanagombeaje Consultation sasa! Kila mtu ana agency yake ya uconsultant. Million zile za chuo pale wameona ni uzushi! They got in the bigger picturer. Marketers wamefungua Brand manaement companies wanavuta tu mshiko. Lawyers nao wahaya wanamwaga radhi.

Soma mchezo uingie dimbani! Jua bwana after miaka kadhaaa na sisi tunataka kuwa na kampuni yetu. Mambo kama Nigeria! Kila mtu bosi wake mwenyewe!!!!!!!!!!

I aint sayin its easy, piece of cake, lainiiiiiiii! NOOOOOOOOO!!!!!!!!! ITS HARD (MAYBE EVEN HARDER) BUT ITS POSSIBLE!!!!!! And its somethin worth working on! Hata ukishindwa atleast you tried. The Sooner You Are In The Bigger Picture, The Earlier You Will Make Shit Happen!!!!!!!!! So ukianza ukiwa young utafaidi zaidi maisha. Rember Organisation nyingi ni Pyramidal, Juu kuna THE ONLY CHOSEN FEW!!!!!!!!!! You need even bigger balls to get to the top.

Inspiration.
IN THIS LIFE WE GET FEW CHANCES IF YOU DONT GRAB THOSE CHANCES TIGHTLY BY THE BALLS YOU WILL END UP WOUNDERING HOW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Note: Ukipata hela usiizike mashambani kwa kujenga ikusanye kwa kulaunch kampuni! Owning a company aint a joke!

no ufugaji wa mombe wa nknko... ni kampuni kwa kwenda mbele..!! inawezekana ukwajza uajsirimali wakati tumbo halina kitu?!
 
Huyo wa Voda ni MAKI..............., Huyo mdau kama mchawi! Ana kampuni ya Makholding ya Malori, mahoteli, mambo kibaoooooo! Wachaga noma!!!!!!!Ila si wanasema maktech wako shares????????

(Kila mtu mjini namjua mimi!!!!!!!!! Nipunguze ushankupe)

Ina maana hata mimi unanijua teheeeeeeeee, teheeeeeeee, cheka Kimkapa.
 
honestly lara 1 ukiwa unaongelea haya mambo nakukubali sana kuliko yale ya wadada kuwakamua wanaume kule mmu,

thumb up kwa mara ingine
 
Last edited by a moderator:
Shukrani kwa huduma yako naomba uendelee kutoa episode zingine maana hii imeenda shule.
 
By they umeongea fact tupu mdada kama watu wanabisha watabisha kwa kuwa bado ni masikini wa fikra good.tunahitaji watu kama wewe wa kutoa elimu za maisha na sio za darasani maaana kama ni za darasani watu wanazo na hazijawasaidia.
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!

Episode 2!

Niliposema naanza vita vya kupambana na fikra za umasikini na mawazo mgando watu walijua labda nabeep! ama nimekurupuka, ama nitakata tamaaaa! Nooooooooo! Im here to stay! I LOVE THE CHALLANGE!

Nimepata response mbali mbali kwenye episode zilizopita! Napenda kuwakumbusha kuwa freedom of speech n opinion, haya ni mawazo yangu, simlazimishi ama kumshurutisha mtu kuyakubali! Ila nayatoa kwa moyo mmoja kwa wale ambao labda hawakuwahi kungali mambo in a bigger picture kama hivi. Siwezi kutoa mamboyote kwa mkupuo! Noooo! Kidogo kidogo tunakwnda!

Mada iliyopita niliposema watu wawekeze automatically akili za wengi zikarukia kufungua fremu! Yaani wasomi wakanilaanije sasa? Yaani binti na PHD zetu unadai tukauze lonya kariakoo? Unbelievable! Chonde chonde wasomi wa taifa hili si mimi ni mgongano wa kimantiki tu! Leo nagonga ikulu kwenu sasa kwenye mambo yenu ya INTRAPRENUERSHIP.

Naomba kwanza kuwapa FACT kuwa believe it or not kuna wabongo Wengi (My be kiasi), bongo hii hii Darisalama wanalipwa WHOOPING 15MILLIONS AND ABOVE TSH/ MONTH!!!!!!!!!!! Anhaaaaaaaaaaaa! Tena sio ma C.E.O. Na sio dili ni mshahara halali! Najua mtabisha na kuona ni impossible well IT IS A FACT!!!!!!!! Kama huamini chungulia TRA PAYE za watu ndo kidogo unaweza stuka Game Imechange!!!!!!!!!! Jiulize how much are you making? (Sio kimajungu ni hatua ya 1 kubadilisha mambo)

LIFE IS TOO FAST! In a flash unajikuta unaretire! Jiulize huu mwaka wa ngapi upo kazini? Umepanda vyeo vingapi? Na bila external forces kwa acessment ya leo hii kuna dalili ukaishia cheo gani? Ukipata majibu chukua hatua!!!!!!!!

All im sayin is simple!

1. Have a plan and work on the plan to get there! Watu wngi kazini wamerizika, wanajiachia tu. Hatwendi hivo. Have a clear concrete plan labda Mimi lazima niwe CFO, iwe isiwe. Hapo ndo una mwaka tu kazini unaweka lengo hilo. Sasa u CFO hauji kwa kumuomba Mungu tu! Jitihada baba jitihada! Anza na kukusanya magamba hayo ya kuwa CFO, usikimbie umande komaa na mitihani ya bodi. Mind you maofisa mko wengi na kila mwaka wanaajiriwa, so YOU HAVE TO STAND OUT FROM THE REST!!!!!!!! Hapa ndo watu wanaamua kuloga sasa ili kupata nyota! Ila ukijituma na kuwa different utaonekana tu. Baada ya kupata hivo vyeti anza kujionesha una uwezo wa hio post ya CFO kwa kugoole mambo yanayotokea duniani ambapo bado hapo kwenu hawajayajua. Kwenye vikao unatoa mapendekezo hatariiiiiii! Kila mtu anakuona sio mwepesi! Hivo hivo automatically watu wanaanza kukupendekeza wenyewe uchukue nafasi. Ukikaa whining shirika ili wanawekana wenyewe na ndugu zao, wenyewe hao walitoka vijijini kama wewe, so you can get there if you decide.

Ukizubaa mda umeenda, majukumu yamekuzidi, hujasoma, vyeti huna, kazi yenyewe huielewi elewi vizuri, ndo unaweka mikono kichwani! Yesu Wangu na kuanza kushinda kwenye maombi upande cheo! (Kuomba is a good thing by the way but not practical coz unaweza kupewa umezeeka)

Kwenye INTRAPRENEURSHIP mafanikio hayaji by chance ni HARDWORK na COMPEPETION tu! Saivi watoto wadogo wana Deadly Ambitions. I got a friend kamaliza 2010, Keshapata CPA, anamalizia ACCA, na mwaka huu anagraduate MBA, na yupo kazinii! GAME IMECHANGE COMPLATELY!!!!!!!!! TIMING AT ITS HIGHEST!!!!!!!!

2.LOOK AT THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!! Start your own companies and make them sucessfull! Ukiwa HR jipange ufungue HR Consultant firm, mnajiunga hata 10. Kama ni Engineer be a Consultant. Kama ni Dr kwenye mradi start your own project. Tusirizike! Kupewa 3m na 10 yrs of experiance is c.rap . I know people who started their little things lakini now they are UNTOUCHABLES!!!!!!!!!! Alifanya kwa mtu, kajikusanya kaanza chake. I have repect for Engineers wanajitahidi sana kuanzisha makampuni yao. Auditors kibao walikuwa kwenye payroll saivi ni OWNERS!!!!!!
Malecturer wamezinduka wanagombeaje Consultation sasa! Kila mtu ana agency yake ya uconsultant. Million zile za chuo pale wameona ni uzushi! They got in the bigger picturer. Marketers wamefungua Brand manaement companies wanavuta tu mshiko. Lawyers nao wahaya wanamwaga radhi.

Soma mchezo uingie dimbani! Jua bwana after miaka kadhaaa na sisi tunataka kuwa na kampuni yetu. Mambo kama Nigeria! Kila mtu bosi wake mwenyewe!!!!!!!!!!

I aint sayin its easy, piece of cake, lainiiiiiiii! NOOOOOOOOO!!!!!!!!! ITS HARD (MAYBE EVEN HARDER) BUT ITS POSSIBLE!!!!!! And its somethin worth working on! Hata ukishindwa atleast you tried. The Sooner You Are In The Bigger Picture, The Earlier You Will Make Shit Happen!!!!!!!!! So ukianza ukiwa young utafaidi zaidi maisha. Rember Organisation nyingi ni Pyramidal, Juu kuna THE ONLY CHOSEN FEW!!!!!!!!!! You need even bigger balls to get to the top.

Inspiration.
IN THIS LIFE WE GET FEW CHANCES IF YOU DONT GRAB THOSE CHANCES TIGHTLY BY THE BALLS YOU WILL END UP WOUNDERING HOW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Note: Ukipata hela usiizike mashambani kwa kujenga ikusanye kwa kulaunch kampuni! Owning a company aint a joke!

Congratulation NIMEKUKUBALI WEWE SIO MTANZANIA WA KAWAIDA,,,, Big Up dada
 
wewe mkali lara1 mungu akubariki ila itabidi uanzishe firm yako kwa ajili ya kufungua vichwa vya watu cz kuna watu mpk washtuliwe kidogo ndo wanazinduka
 
In the same spirit ya kujikomboa lara 1, sijui unafanya nn ila nakushauru uwe motivational speaker/seminer part time/w'end utapata hela.... unakipawa cha kufikisha ujumbe katika lugha sahihi. I have it pictured...Lara Talk Agency...this Saturday Double Trees..theme; How to be your own boss...transform you potential into reality
Damage:TZS 30k. Sponsors abcde...Guest Speakter Dangote from Nigeria...lol
 
Last edited by a moderator:
huo ushankupe wako ndiyo unaokufanya unapata uzoefu kama huu na kushare na vijana wenzako wala usiuache!..

umetisha sana kume upo kote kote nilidhani wewe wa ukweli tu kwenye yale mambo yetu tu!..

Big up sana cster!...

Huyo wa Voda ni MAKI..............., Huyo mdau kama mchawi! Ana kampuni ya Makholding ya Malori, mahoteli, mambo kibaoooooo! Wachaga noma!!!!!!!Ila si wanasema maktech wako shares????????

(Kila mtu mjini namjua mimi!!!!!!!!! Nipunguze ushankupe)
 
Watanzania baadhi yetu wengi hatupendi kuambiwa ukweli. Kuna watu wamenyoosha miguu wakidhani maendeleo yatashuka kutoka mbinguni.kama sipendi kutoa mfano hai lakini wapo watu ninaowafahamu wameridhika na kazi zao za kuajiriwa za mshahara wa laki 3 kwa mwezi tena ni graduates hao na wana GPA 4.0!!! Guys hebu tuamke, kuna scholarship kibao zipo mitandaoni huku ila tunatumia mitandao sana ya kijamii kwa mambo yasiyo na msingi wala tija kwetu. Mtu anashinda facebook siku nzima kuchart na wanaume/wanawake akitafuta viburudisho. Hakuna mtu atakifata akuletee scholarship chumbani kwako, gangamala na hakuna kutudi nyuma, changamoto ni nyingi na ushindani ni mkubwa ila ni muhimu kujipa moyo na kuona kuwa inawezekana. Achana na imani potofu kuwa kila aliepata scholarship amehonga
 
Ujue mujini humu kuna mafursaa kibaoooooooooo!!!!!!!!!!!!!! Mtu ukiamua kuchakarika haiwezekani ukafa njaaa!

Tatizo watu tunapenda kubembelezwa na kupewa matumaini hewa!!!!!!!! Mimi bana i call a spade a spade!

Umemaliza chuo way back, maybe kutokana na majukumu naelewa umeshindwa kuendelea on the meantime, ila lazima uwe na clear focus kuwa in 3 years lazima uwe certified, au hata una masters. Kama umeamua wewe ni wa kuajiriwa tu then hizi basics kama magamba hazikwepeki. Ukifanya mzaha Redundancy itakuhusu huko mbeleni! And you should infact be ashamed! Watu wanaanza na Certificate kazini, wanajikongoja hadi Masters jioni kwa jioni!

The classic ya vijana wengi ukiwauliza kwanini hujaendelea post degree? Utasikia "Uwezo dada yangu unabana! Masters zenyewe 6M huko mi bado kazi sina na ndugu uwezo hawana, acha tu nikomae kitaaa" Shame on You! (Seriously) Yaani umekaa umepass verdict yako kuwa simply because u dont have the cash basi huwezi kuendelea kusoma! How can you find somethin you aint lookin for? Kuna Mascholarship Kibaoooooooooo!(Usifikiri nitakuletea hapa, ingia web za vyuo chimba humo!) Tena unalipwa pale UDSM. Sasa coz umejipumzisha, hupambani hakuna atakae kwambia. All u have to do is kuingia tu kwa website ya chuo. Machance yanatangazwa kutokana na nyie wenye vigezo kutokuwa na habari wanapewa wasio na vigezo.

Yaani inasikitisha mtu ana GPA clean 4 and above yuko home, anangojea kazi mwaka wa 2. Ilibidi mmoja nimkokote kwa gharama zangu kumpeleka Wizara ya Elimu akajaze form za kuomba scholarship ya kwenda nje. Mwaka jana katua China kwa ufazili mnono complete wa serikali ya J.K afu watu wanalalamika fursa hakuna???? All she had to do was to feel a form!!!!! Tena bure! Sema jamani eeeh mimi fursa sizijui nionesheni!

We ukikaa unalia lia cry yourself a river! Amka ingia kwenye system, mambo utayapenda mwenyewe!

Lara u are right,mimi baada ya A level sikuweza kupata chuo nilianza kufanya kazi za nguvu kwa miaka 4 hadi nikakusanya ada na kujipeleka chuo,nikamaliza nikapata kazi.Sikuishia hapo nikaunganisha Masters ikanisaidia kupanda cheo ofisin.

am currently doing my CPA hope to retire in the next 2 years and start my own firm as a consultant.
YOTE YAWEZEKANA NA WENGINE YAMETUKUTA
 
Back
Top Bottom