sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Yaan mtu amepigwa radi na kufa eti polisi wanafanya uchunguzi ili kubaini chanzo cha kifo chake.Wamekurupuka sana, bila uchunguzi wa kina wanawavua tu madaraka wenzao waliyoyasotea miaka kenda kisa one video, hii sio sawa.