Injinia...
Umesema una udhibitisho wa wizi wa PMM... naona ingekuwa vema sana wakati unaongea na huyo mwandishi ungemwambia hatua ambazo umeshawachukulia mfano umeshawapeleka mahakamani..etc etc Lakini hata leseni ya ICD bado wanayo hujawafutia... Are u serious Injinia Kakoko??