Mkurugenzi Castory Msigala aliyegombana na CHADEMA aondolewa kusimamia uchaguzi Moshi

Mkurugenzi Castory Msigala aliyegombana na CHADEMA aondolewa kusimamia uchaguzi Moshi

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869


KATIKA hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa uchaguzi Moshi vijijini na Vujo Bw. Castory Msigala aliingia katika mgogoro na wanachama wa Chadema chanzo kikiwa ni fomu ya wagombea wa Chadema.

Mgogoro huo umesababisha mkurugenzi huyo kuondolewa katika nafasi hiyo ya kusimamia uchaguzi Moshi na hivyo mkurugenzi wa Moshi mjini amepokea fomu za CHADEMA.

CHADEMA imempongeza mkurugenzi wa uchaguzi Tume ya Taifa kwa kusikiliza kilio chao na kuwezesha fomu zao kupokelewa.
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa maana uchaguzi ni mchakato hivyo changamoto zozote kuelekea Oktoba 2020 Mkurugenzi ambaye ni mteuliwa wa Usimamizi katika eneo husika lazima changamoto zozote kwa weledi mkubwa.
 
Back
Top Bottom