Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mkurugenzi wa Katavi aliyetumbuliwa jana na Mh. Samia Suluhu bibi Catherine Mashalla haikutolewa sababu, lakini kumbe ana kesi ya uhujumu uchumi na alikuwa sero mpaka wiki iliyopita ndio amepata dhamana kwenye hii kesi niliyoambatanisha. Kiasi halisi alichotuhumiwa kupiga ni (TZS-1,232,408,689.0] Bilioni na ushee bibie Cathy unapeleka wapi?
Yeye ndio huyo mshitaki wa Kwanza. Vyombo vyetu vya habari havia habari za kichunguzi, hakuna hata kimoja na ndio maana kila uchao namuomba sana kaka Pascal Mayalla arudi kwenye habari, atuletee za kichunguzi. Naamini, mtu kama Mayala[Njaa] angeweza kutuambia sababu ya Pauli kushushwa Cheo, Sababu ya Jokate kushushwa cheo of which mtaani zimebaki sababu za kuhisia kwamba akina mama walilalamika hawawezi kuongozwa na mtu asiye na ndoa, asiyejua unyenyekevu kwa mume, mtu ambaye picha zake mtandaoni hata uki google hazifai hata kama ametubu nk.
Kwenye Picha Catherine ameva nguo ya Draft Draft, sijataja chama chake, ila nafikiri hana chama!
25 August 2023, 10:25 am
KATAVI
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Katavi imewafikisha mahakamani watumishi wa serikali 7 kwa makosa matatu ikiwemo wizi wa fedha zaidi ya bilioni 1.2.
Kelvin Mwaja ni mwanasheria kutoka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru mkoa wa Katavi amesema kuwa watuhumiwa walitenda makosa hayo mwaka 2022 na 2023.
Wakisomewa mashtaka yao Mara baada ya kufikishwa mahakamani, hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Katavi Gway Sumayi ambapo ni Canuthe Hipolite Matsindiko (muhasibu) ,Michael Mathew Katanga (muhasibu), Masami Andrew Mashauri (muhasibu), tumaini Richard Misese Maira Samson Oluomba muhasibu, Emmanuel Damas Salanga (muhasibu) na Laurent William Sunga.
Watuhumiwa wote wanakabiliwa na mashtaka ya kuunda genge la kiarifu,wizi wa fedha Zaidi ya bilioni 1.2 na utakatishaji wa fedha za serikali katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Katavi Gway Sumayi amesema kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kutoa dhamana au kusikiliza kesi hiyo hivyo imepelekwa katika mahakama kuu ya kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Kesi hiyo imesikilizwa tarehe 21 mwezi huu ambapo inatarajiwa kusikilizwa tena tarehe 04 mwezi 9 mwaka huu katika mahakama kuu ya kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa na wala rushwa hao wamepewa dhamana.
Yeye ndio huyo mshitaki wa Kwanza. Vyombo vyetu vya habari havia habari za kichunguzi, hakuna hata kimoja na ndio maana kila uchao namuomba sana kaka Pascal Mayalla arudi kwenye habari, atuletee za kichunguzi. Naamini, mtu kama Mayala[Njaa] angeweza kutuambia sababu ya Pauli kushushwa Cheo, Sababu ya Jokate kushushwa cheo of which mtaani zimebaki sababu za kuhisia kwamba akina mama walilalamika hawawezi kuongozwa na mtu asiye na ndoa, asiyejua unyenyekevu kwa mume, mtu ambaye picha zake mtandaoni hata uki google hazifai hata kama ametubu nk.
Kwenye Picha Catherine ameva nguo ya Draft Draft, sijataja chama chake, ila nafikiri hana chama!
25 August 2023, 10:25 am
KATAVI
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Katavi imewafikisha mahakamani watumishi wa serikali 7 kwa makosa matatu ikiwemo wizi wa fedha zaidi ya bilioni 1.2.
Kelvin Mwaja ni mwanasheria kutoka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru mkoa wa Katavi amesema kuwa watuhumiwa walitenda makosa hayo mwaka 2022 na 2023.
Wakisomewa mashtaka yao Mara baada ya kufikishwa mahakamani, hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Katavi Gway Sumayi ambapo ni Canuthe Hipolite Matsindiko (muhasibu) ,Michael Mathew Katanga (muhasibu), Masami Andrew Mashauri (muhasibu), tumaini Richard Misese Maira Samson Oluomba muhasibu, Emmanuel Damas Salanga (muhasibu) na Laurent William Sunga.
Watuhumiwa wote wanakabiliwa na mashtaka ya kuunda genge la kiarifu,wizi wa fedha Zaidi ya bilioni 1.2 na utakatishaji wa fedha za serikali katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Katavi Gway Sumayi amesema kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kutoa dhamana au kusikiliza kesi hiyo hivyo imepelekwa katika mahakama kuu ya kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Kesi hiyo imesikilizwa tarehe 21 mwezi huu ambapo inatarajiwa kusikilizwa tena tarehe 04 mwezi 9 mwaka huu katika mahakama kuu ya kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa na wala rushwa hao wamepewa dhamana.