Mkurugenzi Catherine Mashala alitumbuliwa kwa kesi ya Ufisadi wa Tsh. Bilioni 1.245,989,000?

Hii jinsia ambayo tunawapa madaraka na hawana uwezo haya ndio majibu yake.
 
Mwanamke kuwa mwizi haipendezi hawa wengi wao elimu haina msaada kwao...Kukaa ofisini kuedit templates na kufanya wizi ndio maisha yao
Sasa, huyu ni sample, wakurugenzi tangu wannze kuteuliwa kutoika kwa makada badala elimu ndio imekuwa shida.
Mkurugenzi anajichotea maana anajua nay time anatumbuliwa?
 
Lakini watu wa vetting Huwa hawaoni haya Hadi Kupeleka majina Kwa Rais?

Ni vyema Rais akaanza na watu wa hicho kitengo, haiwekani mtu ana kesi ya uhujumu uchumi Bado anaendelea kuwepo kwenye Ofisi za Umma,hii sio sawa.
 
Mwisho wa siku kijana ambaye hajafanywa ufisadi anaonekana boya tu.

Wizi unapogiwa promo sana na jamii kwasabb ya ufisadi wa baadhi ya watu.
Unazodolewa na kupewa mifano.
Hebu fikiria mmiliki wa ile timu ya mpira
Lakini watu wa vetting Huwa hawaoni haya Hadi Kupeleka majina Kwa Rais?

Ni vyema Rais akaanza na watu wa hicho kitengo, haiwekani mtu ana kesi ya uhujumu uchumi Bado anaendelea kuwepo kwenye Ofisi za Umma,hii sio sawa.
Vetting?
Paulo- Arusha.
Saa-mbaya-HAi.
Catherine na wengine, kwahiyo unataka vetting iwe inafanyika pale Lumumba maana hawa wote ni wale wanaoshindwaga kura za maoni, unategemea kweli hawa watatufikisha pahala.
 
Bora hao wengine ni Wanasiasa,Hawa watendaji vetting inakuwaga wapi? Huyu Ded Toka mwaka Jana alifikishwa mahakamani na Takukuru iweje ateuliwe?
 
Kesi nyingi za ufisadi zipo mahakamani. Tatizo Sasa hivi kuna waandishi wa hovyo hazisikiki na Wala hawana habari wao kazi Yao ni kuandika habari za Zuchu na Diamonds,alafu hao hao waandishi ndio wanalalama kuwa serikali haichukui hatua
Ni kama vyombo vya habari havipo nchi hii.

Vinatangaza habari za kijinga kijinga halafu za maana vinapotezea.

Ukiwa na watoto sasa hivi vyombo vya habari unatakiwa uvitoe kwenye ratiba zao za following nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ