Mkurugenzi (DED) Masasi DC amvua cheo Mwalimu Mkuu kisa kushindwa kuchangia chochote kwenye ziara ya Mbunge

Mkurugenzi (DED) Masasi DC amvua cheo Mwalimu Mkuu kisa kushindwa kuchangia chochote kwenye ziara ya Mbunge

Wamtengeneze tu huko sikuna wataalam kibao asilete dharau kusini sio watu wa kuchezea JPM mwenyewe anajua
 
Marehemu alifanya makosa makubwa sana sana nchi hii!!!ila watu hawajui tuu!!! Fikiria unamchukua kada wa ccm aliyefoji vyeti unampa ukuu wa mkoa au wilaya au ukurugenz wa wilaya !! Ndio maana vitu vya kijinga havitakoma
 
Yupo sahihi
Kisiasa
Unapokuwa katika event kama hiyo unatamka chochote hata kama huna mpango wa kutoa chochote
 
Mimi shida naona ipo kwa wananchi ndo maana CCM itatawala sana...nchi yetu wananchi wamekua kama mashetani kushangiliana mtu akifikwa na ubaya hata kama hastahili...sasa hapo ukiwauliza walishangilia nini hawana jibu pumbavu
 
Yupo sahihi
Kisiasa
Unapokuwa katika event kama hiyo unatamka chochote hata kama huna mpango wa kutoa chochote
Ndo utoke haitebo uje mpaka kwa wananchi uulize hakuna walimu waliojificha uku waje watoe ahadi kuwa Wana changia sh ngapi! Na wananchi wanajibu Hawa huku mheshimiwa wamejificha then unatolewa mkuku mkuku alafu unaambiwa ahidi apo kuanzia mifuko miwili ya cement sio mmoja na anataka ile ya 42.5 yaani kazingua
 
Huyu ded ajirekebishe vinginevyo atajua hajui.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwalimu mkuu Kama kiongozi wa taasisi hakupaswa kusema hachangii chochote, Kuna watu wapo nyuma yake, akisema hachangii na wenyewe hawatachanga. Ukitaka kuishi huru usiwe na cheo na ukitaka kua huru zaid jiajiri
 
Ndo utoke haitebo uje mpaka kwa wananchi uulize hakuna walimu waliojificha uku waje watoe ahadi kuwa Wana changia sh ngapi! Na wananchi wanajibu Hawa huku mheshimiwa wamejificha then unatolewa mkuku mkuku alafu unaambiwa ahidi apo kuanzia mifuko miwili ya cement sio mmoja na anataka ile ya 42.5 yaani kazingua
Kuchangia shughuli za maendeleo kimsingi ni Hiyari na Hakuna sheria ya Kumlazimisha mtumishi wa Umma au yoyote kuchangia
Kwa Kiongozi yoyote (Mfano huyu Mwl Mkuu) unapokuwa mbele ya hadhara kutotamka kitu cha kuchangia au kutamka maneno Mfano SINA, SICHANGII na mengineyo ni utovu wa Nidhamu kwa viongozi wa Juu yake
MIKUTANO YA KISIASA HUWA INAISHA KISIASA
 
Kwasisi wengine masikini jeuri ,Pala pale aliponirudishia cheo changu ningemjibu

" Ahsante nashukuru ,Ila hicho cheo bali nacho isije ikaonekana naishi kwasababu ya hicho cheo,Naomba umlete mwingine umkabidhi hicho cheo"
 
Kwasisi wengine masikini jeuri ,Pala pale aliponirudishia cheo changu ningemjibu

" Ahsante nashukuru ,Ila hicho cheo bali nacho isije ikaonekana naishi kwasababu ya hicho cheo,Naomba umlete mwingine umkabidhi hicho cheo"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni
Kuchangia shughuli za maendeleo kimsingi ni Hiyari na Hakuna sheria ya Kumlazimisha mtumishi wa Umma au yoyote kuchangia
Kwa Kiongozi yoyote (Mfano huyu Mwl Mkuu) unapokuwa mbele ya hadhara kutotamka kitu cha kuchangia au kutamka maneno Mfano SINA, SICHANGII na mengineyo ni utovu wa Nidhamu kwa viongozi wa Juu yake
MIKUTANO YA KISIASA HUWA INAISHA KISIASA
Kwanini utoe ahadi ya uongo?

Ukitoa ahadi ambayo huwezi kuitekeleza baadaye wakija kukusanya. Chao si nikujiletea matatizo tu,?

Kuamini,Unacho toa huna uhakika huna.
 
Kwanini utoe ahadi ya uongo?

Ukitoa ahadi ambayo huwezi kuitekeleza baadaye wakija kukusanya. Chao si nikujiletea matatizo tu,?

Kuamini,Unacho toa huna uhakika huna.
Kabisa na ambao walichelewa kupita mbele wakati anawaita kawaambia anahitaji maelezo yao j3 asubuhi ya kwann yy anaita walimu mpooo? Wao wamekula kimya kwa wananchi huko wamejificha eti haiwezekan yy boss wao kachangia laki tano alafu wao wako pale wasitoe chochote wakti yy ndo mwajiri wao yaani ilikuwa km Vita! Yaan tutafika mbinguni tukiwa tumechoka Sana km kwa staili hii
 
MWALIMU MKUU ALIKUWA HATAKI TENA HIYO NAFASI? KAMA VIPI ANGEAHIDI TU HATA 50K NA ALIPE ELFU KUMI MPAKA FEB, 2022 ANGEKUWA AMEMALIZA
 
Ila Wananchi wengi wa Tanzania ni vihiyo na wanachuki za kijinga mtu akidhalilishwa au kuvuliwa cheo mbele ya hadhara wao ni kushangilia tu
 
Back
Top Bottom