kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 222
- 515
Wasalaam
Miaka michache ilikuwa ukiingia mkoa Wa Iringa utakuta mji ni msafi hadi unavutia. Hili Leo ni story. Wiki nzima nimekuwepo Iringa hususan stendi ya zamani, inasikitisha.
Matakataka kila kona. Uchafu umetapakaa, stendi mabarabarani no body cares. Hata maeneo ya wazi kabisa ni hatari uchafu kila mahali.
Madampo kuanzishwa barabarani hii ndio hata sisemi maana ni mbaya kuliko. Tupaze sauti mji wetu unaharibiwa naona viongozi ni bata tu hakuna jipya tena
Miaka michache ilikuwa ukiingia mkoa Wa Iringa utakuta mji ni msafi hadi unavutia. Hili Leo ni story. Wiki nzima nimekuwepo Iringa hususan stendi ya zamani, inasikitisha.
Matakataka kila kona. Uchafu umetapakaa, stendi mabarabarani no body cares. Hata maeneo ya wazi kabisa ni hatari uchafu kila mahali.
Madampo kuanzishwa barabarani hii ndio hata sisemi maana ni mbaya kuliko. Tupaze sauti mji wetu unaharibiwa naona viongozi ni bata tu hakuna jipya tena