iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
RIP, poleni sana wanafamilia mama, Jimmy, Tom be strong!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Mwang'ondas,Mihayos,Kimarios,Lubuvas sio wakuja?Na ' Obey ' ya enzi hizo ndiyo ilikuwa ' Obey ' hasa siyo hii sasa ambayo imejaza ' Wakuja ' tupu halafu wanajifanya Wajanja.
Mkuu Kiranga,naomba ikikupendeza na ikiwezekana,andika kitabu kuhusu Oysterbay ya zamani. Mimi nipo kwenye mchakato wa kuandika kitabu kuhusu UDSM ya 1970s mpaka 1990s.Pale Bongoyo, cross streets ni Mkwawa na Winding Ave. Viwanja vya wazee vile.
Kwa Mzee Lubuva mbele kidogo.
Mzee Kimario mpaka amefariki alikuwa anaandika kitabu cha "War Stories" nilikuwa namsihi Mfaume kitabu kichapishwe watu wapate habari.
Umenikumbusha mbali sana kwenye kiduka kile.
Kuna siku nimekaa na kichaa wangu Alpha Opanga pale, ananiambia ana bonge la project la kuweka vyoo vya kulipia Dar. Nikasema Alpha acha stories zako, hakuna kitu kama hicho. Baadaye kidogo, nakuja kukuta Dar kuna vyoo vile vile alivyovisema Alpha!
The sad thing was Alpha had nothing to do with that.
Nyumba ya Mzee ipo jirani na ya marehemu, viwanja vya familia vipo jirani na kwa Mzee Apson.Hapo Mbezi Beach ni Kwako ( nikimaanisha Umejenga ) au Kampuni / Ofisi imekupangia tu?
Nilimkumbuka ila jina lilinitoka kidogo. Miaka imesogea sana.Mbona umemsahau pia na Mzee mwingine aliyekuwa na Historia yake nzuri tu hapa Tanzania Kipindi cha Hayati Baba wa Taifa Mzee Kitundu ambaye alikuwa anakaa Mita chache tu kutoka Nyumba aliyokuwa akiishi Jaji Mstaafu Mzee Damian Lubuva?
Acha kupotosha watu, kipindi cha ulimboka kutekwa Apson alikua ameshastaafu, Apson alimaliza muda wake kipindi cha Ben MkapaNdiyo alikuwa mkurugenzi enzi zile Dr. Ulimboka alipotekwa na kuokotwa msitu wa Mabwepande akiwa yuko hoi bin taaban?
Tunamtakia kila la heri huko aendako.
Nilirudi likizo, mimi ndiye nikaonekana mgeni viwanja vyangu.Naam kaaa sana kidukani pale ,jioni unaingia kwenye court ya Mzee kimario kudunda kikapu
Ile mitaa siku hz watu hkn kabisa wote wamehama
kitengo mwenzio
kariakoo shimoni
Mav matupu, ndo nini hicho umeandika we kiazi mbatata na selule uliyekubuhu?
Naona sahv anaishi pia nyuma ya laibon Street zamani us embassy..... Mtoto wake Sam yule anayemiliki agies record ni mwanangu kitambo Sana since udogoni
Ova
Watu wanaijua obay tokea Enzi za John bichwa mzungu
Ova
Nyumba ya Mzee ipo jirani na ya marehemu, viwanja vya familia vipo jirani na kwa Mzee Apson.
Nilimkumbuka ila jina lilinitoka kidogo. Miaka imesogea sana.
Hawa wazee kama bado wapo miaka itakuwa inafikia jioni ya maisha yao sasa.
Magu amekua akihudhuria kusaini mahudhurio yadaftari LA wagonjwa ,nabahati zuri hawaponi ,yeye anajifunza nn