TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Ngwanakilala,
Habari nzito hii inastahili zaidi ya mstari mmoja wa habari. Rip Mzee Apson.

Ongeza taarifa kwa kutumia zile W5 + 1 H. Yaani lini, wapi msiba umetokea, mapito marehemu ktk utumishi wa umma, Jambo kubwa alilofanya kwa taifa n.k (Who, Where, When, What, Why and How)
https://www.jamiiforums.com › jasu...
Jasusi Colonel Apson Mwang'onda atua Dodoma - JamiiForums

6 Jul 2015 · 20 posts · 3 authors
Wakuu bado nipo hapa Dodoma kwa takriban wiki sasa. ... Colonel Apson Mwang'onda limewasili hapa Dodoma.
 
Huyu hapa
tapatalk_1570460234764.jpeg
 
Ndiyo alikuwa mkurugenzi enzi zile Dr. Ulimboka alipotekwa na kuokotwa msitu wa Mabwepande akiwa yuko hoi bin taaban?

Tunamtakia kila la heri huko aendako.
alafu eti mijitu inakuja hapa inasema RIP, pumbav, muacheni Mungu aweke mavuno yake panapostahili, na kama damu ya walotekwa na waliopotezwa, ipo kwake basi italia mpaka kizazi chake cha nne
 
Back
Top Bottom