Mkurugenzi Mkuu NSSF, Masha Mshomba hizo ajira 271 ni kaa la moto kwako, chukua tahadhari

Matesa alikua kila.za
OVER
 

Aisee,sikuyajua haya...

But why wanatuchukia hivyo hawa jamaa,like seriously TUMEWAKOSEA kitu gan??

But all in all chuki haiwez shinda upendo,ni kuzid kukaa nao KWA wema na KWA tahadhari,that's all
 
Kwa taarifa hii ninayoamini kuwa ni ya kweli, basi namshauri DG mpya Masha Msomba kuipa uzito unao stahili;
1 Asitishe hilo zoezi la hizo ajira mpya mpaka mwenyewe ajiridhishe kama kuna mahitaji ya hao wafanyakazi 271.
2 .Kama kuna mahitaji ya idadi ya wafanyakazi hao 271, basi azitangaze kwa utaratibu wa sasa wa Serikali kupitia Sekretariati ya Ajira.
3. Aombe kibali cha Bodi ya NSSF kuwahamisha Director wa NSSF huyo Kamu Mganga na HR Manager Leah

Masha msomba:
Tafadhali usimwangalie Nyani usoni, kazi yako itaharibiwa na hao watu wawili. Njia iliyowaleta ndiyo njia wanayopaswa kutokea, Period. Ikibidi wape hata likizo unaposubiri kibali cha Board
 
Wakati sisi wengine tunalilia pesa zetu hapo, kuna watu wanapigana vikumbo kwenda kutafuta pesa za watu walizotafuta kwa jasho na damu.

Dunia hii,

Yaani Mkuu,we acha kabisa,

Pesa za mafao ya wanyonge ya uzeeni watu mate yanawatoka kila siku wapo vitani,atoke huyu akae yule,

Hawa watoke waende halmshaur sisi wengine tubaki,wanatoana roho KWA mali ya wastaafu,hatar sana
 
Katika mfumo wa ajira unaotambuliwa na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za mwaka 2003, hakuna kipengele cha "kujitolea" katika mchakato wa ajira serikalini au kwenye mashirika ya umma. Kujitolea ni jambo binafsi la anayejitolea na halimlazimishi mwajiri kumuajiri kwa kuwa kajitolea. Instead kuajiri wanaojitolea kunaweza kujaza watu ambao hawana uwezo kwa vile kunakuwa hakuna trasparency ya namna ya kuwapata.
 
Hii ni sauti ya aliyeumizwa. Pole sana. Ila ninaomba wasichezee mafao ya wastahafu.
 

Nice comment,big up,

Na hata kama wanajitolea,ndiyo waonewe huruma hao wote 271?

What's the difference baina ya hao na ambao wapo nje?wote Wana Njaa,wote hawana kazi,fairness iwepo,KWA njia hiyo anayoitaka yeye basi hawa vijana ambao wako nje huku hawatoweza kupata kazi,utaratibu wa sekretariat ya ajira ufuatwe
 
Huu ni wivu tu, tulia huko halmashauri uliko, hautoshi kufanya kazi kwenye mashirika makubwa ya umma.
 
Kama hakuna kwanini wanawekwa na wanalipwa?
 
Good, kwanini waache wanaojitolea na wakati perfomance yao inajulikana?
 
Good, kwanini waache wanaojitolea na wakati perfomance yao inajulikana?

Besides hao hawajitolei inavyosemekana,

Wamepewa temporary contracts za kuzuga na wanalipwa monthly,

Si bora basi kama wangekuwa wanajitolea
 
Hii kitu tuliweka humu nadhani DG mshomba aliona, ila umetoa current updates na azione mapema dg mpya na awaonye mapema
 
Besides hao hawajitolei inavyosemekana,

Wamepewa temporary contracts za kuzuga na wanalipwa monthly,

Si bora basi kama wangekuwa wanajitolea
Acha waajiriwe kama wanafanya vizuri kuliko kubet wapya usiowajua. Mnapenda kufanya mambo magumu. Kama mtu amekubali kujitolea basi kwenye ajira angalau apewe kipaumbele. Tuache roho mbaya na husda kwa wedogo zetu. Wakienda utumishi mnalalamika hapa kuwa kwann wanaitwa watu elfu kadhaa wakati wanaohitajika ni 50. Wabongo ni ulalamikaji kila sehemu. Muda wote unalalamikia wenzako kuwa wanaingiza ndugu zao, Yaan HR awe na undugu na watu 271 au wote hao waingie kimagumashi na ww uwe na taarifa zao wote hata waziri asijue? Acha unafiki
 
Baada ya Dau mmekuja na 'miradi yenu ya Kimkakati' ya Kulima Pamba na Miwa, tupeni matokeo

Mnufaika wa zama za Ramadhan Dau na Bi. Chiku Matesa ukiwa kazini kuchafua uongozi mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…