Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

hivi hawa poliCCM ni lini wataacha kukandamiza haki za raia? Kesi hii ikipata wakili mzuri kama Tundu Lissu ataimaliza ndani ya dakika 10 tu.
 
Kwani umeambiwa wanatafuta wanachama wa vyama?
Inaelekea ni ruhusa kutukana upande wa pili-waite wapumbavu, malofa etc utakuwa safe lakini maneno hayo hayo elekeza upande ule......ni mil7 au huenda ikawa kifungo.
 
Hayo yakwako
Mada hapa ni Sheria ya mitandao ilipitishwa kabla ya Magufuli kuwa Rais

Kosa lake ni lipi?

Kwani mkuu kwenye sheria ya mtandao Kuna kifungu kinasema kinaomba malaika washuke wafunge mitandao ya kijamii?
 
Kama ni hivyo

Basi akibananishwa tu ujue tumeumia humu

Wengine tutawaokotea mabwepande au tindikali zinawahusu
 
Umeongea point. Kuna watu wana hoja kibao SA za kumkataa Mandela, ukiwaskiliza utachoka.
 
Hivi mkuu hataki kabisa kukosolewa?hivi hakumbuki hata Mao wa China kafa na alikuwa km Mungu mtu?
 
We kwa mawazo yako unafikiri lowassa, Mbowe, Sumaye hawajui kinachoendelea wa, kkwa taarifa yako hata Lema mwenyewe anajua jinsi hao jamaa kwa nje wanavyofight kwa ajili yake. Hayuko peke yake kama unavyodhani shida yako unataka kuwa kama Tomaso aliyetetaka uthibitisho kwa kuona alama za misumali kwa macho yake.
Kinachoendelea ni kikubwa kuliko unavyofikiri
 
Kama kuna kesi ya msingi na haijatolwa maamuzi basi hapo kesho Max ataachiwa tuu..mpaka kesi iliyopo ifanyiwe kazi wala hakuna la maana hapo.
 


Hiyo ni kinadharia kwamba ninyi ndio wenye nchi lkn kiuhalisia hakuna kitu kama hicho Dunia hii!
 
Mimi nipo Mikindani
Mahakamani sita hudhulia kabisa
Ni nani aliyekuomba kuhudhuria mahakamani? Mnafki mkubwa wewe.

Mods tafadhali pitieni uzi huu kwa makini mtawatambuwa maadui wa JF ni bora muwadelete permanent wao na IP zao.

By the way Max hii si mara ya kwanza kuwekwa ndani kwa sababu ya JF labda wageni hapa JF ndio hawajui na msidhani Max hajui risk anazobeba kuendesha mtandao huu, hivyo nawasihi msifadhaike.

Kuna wanaume wamejiapiza kabisa humu kwamba Polisi na jela ni kwa ajili ya watu fulani tu lakini niwaonya ole wao hata Zombe alikuwa Polisi mkubwa lakini amemalizia utumishi wake kama mjelajela.

Only fear for death.
 
Atumie ubabe wake kufungia vyombo vyote vya mawasiliano abakize magazeti ya ccm,tbc na star tv tujue moja.
 


Mkuu kwenye kampeni maghufuli alisema hakuna mwanafunzi aliye na sifa atakosa mkopo na hilo alilitamka dodoma, lakini mbona kafanya kinyume? Je huoni kwa hata yeye Mwenyewe anakichanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…