Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Facebook watapafanyaje?
 

Ujinga tu kama ujinga mwingine. Mkitaka msisemwe mnakuja na gear ya law and order. Ujinga tu.
 
Pole sana bro. Tunatambua na kuheshimu kazi kubwa unayoifanya. Ni kazi ambayo inastahili sio sifa na pongezi pekee, bali ni kazi ambayo inataka uwe mzalendo na jasiri. Kuna mengi yanaweza kukukuta kwa kuwa mzalendo na jasiri, kati yake ni DISCRIMINATION na VICTIMIZATION. Kwa wanaharakati wa haki za binadamu, hayo si mambo ya kuogopa hata kidogo kwa sababu kuwa mwanaharakati ni haki yako pia kama binadamu.
Unawasaidia na umeendelea kuwasaidia wengi. Wengi wemetoa stress zao hapa, wengi wameumbuliwa hapa, na wataendelea kuumbuliwa.
Hili ni moja ya mabaraza bora zaidi kwa wanaharakati. Kamanda Max, together we stand bro.
 
Very Correct, hapo kwenye red
 
.
Nina wasi wasi na hawa waliomkamata Max , walifanikiwa kumnanga Ben ila wakashindwa kuwapata wakosoaji wengine waliokuwa na ID za kificho. Ben yeye alikua anaingia jamii forum na jina lake kamili.
Ona sasa madhara yaliyompata.
 
"Maendeleo ni kupanuka kwa uchumi na uhuru," Mwalimu Julius Nyerere.
 
You're writing leaning on the easy side. I hope you are a learned person who understands that, rights go hand in hand with responsibility. As much as we dearly need media freedom, the media houses and other stakeholders must be aware of their responsibility to uphold professionalism and ethical conduct in their writings/reporting. Media shouldn't be used as a platform for propagation of lies and hatred, both of which are good catalyst for chaos.
 
Ujinga tu kama ujinga mwingine. Mkitaka msisemwe mnakuja na gear ya law and order. Ujinga tu.
Ushapigwa na maisha wewe. Njaa zenu za kutaka kujifanya kujua kusema mmemtafutia mwenzenu matatizo.

Kusema hamjakatazwa. Ila zingatieni sheria sio tu za nchi hata humu JF kuna sheria zake
 
Media freedom and freedom of expression can't bring about chaos,but help the sustainability of national unity as everyone is free to speak what he/she believes. Don't tell me about the current Newspaper Act.[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…