theCriticalOne
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 206
- 285
Kutaka kupewa taarifa za watumiaji wa mtandao ni Kuingilia uhuru wa Mawazo, Habari za Uzushi zipo kila mahali, Huwezi kuzizuia kwa kufungia mitandao.Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Grow up basi ndugu yangu ,acha utoto, you are so boring- Sasa mtumzima unajibishana na mtoto kweli inakuingia akilini au na wewe ni wewe mtoto mdogo? hahahahaha unanivunja mbavu U know
le Mutuz
msalimie Field Marshal es- hahahahahahahaha jibu swali kumbe Escape One siku hizi ni mahali pa watoto wa shule? haya mkuu nisamehe sana hahahahaha
le Mutuz
ha ha limekufika hapa! kumbe nawewe huwa unabwabwaja!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23]haahaha le mutuz anajiandaa kujenga hekalu sasa hivi unataka achanganyikiwe
- hahahaha sasa ukija kunijibu inakuweka wapi wewe genius?
le Mutuz
Kufungia internet uwezo huo hatuna. Usijilishe upepo...sidhani kama anamaanisha hatuwezi kufungia face book kwasababu hatuna utaalamu, hapana, why? mbona serikali ikiamua inaweza kukataza hata internet isiwepo kabisa... nafikiri anachomaanisha Mzee wa Kingonzile ni je? nchi yetu ina uwezo wa kumudu sanctions za UN na western countries? au labda tumeshakuwa donner country tayari na tunajitosheleza wenyewe kama wanavyofanya North Korea na Iran?
Hebu kuwa serious kidogo W. J. Malecela ,- Tunajenga Taifa so wananchi mchana mzima wanatakiwa kuwa kazini sio kuangalia Bunge live, hayo mengine ya kwako na ni nonsense!
le Mutuz
Hebu kuwa serious kidogo W. J. Malecela ,
Je? Na wale wanaofanya kazi shift za usiku, muda mchana hawaruhusiwi kuangalia TV ?
Basi mngezima mawasiliano ya TV kila mchana, "muda wa kazi" ukiisha muwashe tena, maana hii hoja ya kusema watu wasiangalie bunge wakati wa kazi ni hoja mfu!
Halafu Kuna vipindi vingine vinaendelea kwenye TV mchana, mbona watu wanaviangalia? hivyo haviwafanyi watu wasifanye kazi?
Wewe kama "great thinker" unadhani kitakachowafanya watu wasifanye kazi mchana ni BUNGE LIVE tu?
CCM aliyewaloga ni marehemu!
Tatizo wanakaririshwa halafu hawajipi muda wa kutafakari.Huyo jamaa sijui kama amechukua muda kutafakari alichokiandika, hivi ile radio yao ambayo nasikia ana hisa, watakua wanaiwasha mchana wakati wa kazi?