Mkurugenzi mtendaji wa UnitedHealthcare auliwa nje ya hoteli Midtown Manhattan

Mkurugenzi mtendaji wa UnitedHealthcare auliwa nje ya hoteli Midtown Manhattan

View attachment 3169032


View: https://youtu.be/NM2hAO4p8IU?si=6YELos-i_A88ekRw

Inavyosemekana mauajj yametokea mapema asubuhi mishale ya saa 12 na dakika 45 nje ya hoteli ya Hilton.

Huyo CEO ni Brian Thompson.

Inavyoelekea mauaji hayo ni kuwindwa. Jamaa alipomaliza mauaji yake akapanda ki baskeli cha umeme na kutokomea kusikojulikana.

Ila ni suala la muda tu atajulikana ni nani. Na si ajabu law enforcement tayari wameshamjua ni nani lakini hawajatangaza tu.

Kwenye hii miji mikubwa kuna network kubwa sana ya camera ambapo huwezi kufanya uhalifu halafu usijulikane.

Watanzania wengi tushalala hapo wakati wa mikitano katika kumbi zilizo Karibu na hapo!
 
NYPD wametoa picha za muuaji akiwa hajaziba uso wake.

Sasa ni suala la muda tu. Na si ajabu tayari wameshamuweka kwenye 18 zao na wako mbioni kumkamata.

IMG_7311.jpeg
 
Aisee, inasikitisha kupoteza uhai kwa matashi ya mtu mwingine
Video ya akipigwa risasi na kudondoka inasikitisha sana.

Kapigwa risasi kutoka nyuma.

Hakuwa na nafasi yoyote ile ya kujihami.
 
Uh oh…….a person [of interest] is in custody in Altoona, PA.
 
Back
Top Bottom