NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Idara ya utumishi na Tsc
Kuna watumishi mliwahamisha vituo vya kazi tangu mwezi July mwaka jana Hadi leo hamjawalipa stahiki zao za uhamisho na BADO wapo vituo mama wakisubiri fedha zao Hadi leo na hawafanyi kazi KWA takribani mwaka mzima.
Watumishi hao wanalipwa mishahara bila kufanya kazi KWA mwaka mzima wakisubiri fedha zao za uhamisho Hadi leo!
Hivi mnafikiri hayo malipo hewa sio hasara KWA serikali na wananchi kuhujumiwa kodi zao!!?au mnatumia nini kufikiri hilo!?
Hamuoni huo ni ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za serikali!!?
Amueni Moja Kati ya haya;
1.Kusitisha uhamisho na kuwapa barua waendelee kufanya kazi katika vituo mama kama hamna fedha za kuwalipa!!?
Au
2. Walipeni fedha zao mapema Ili waende kulitumikia TAIFA lao kwenye vituo vyao vipya vya kazi!
Mamlaka ya Tsc Uyui mnalijua Hilo!!?Mbona mmekaa kimya kwa mwaka mzima!!?
Nimepewa ujumbe nimeufikisha fanyieni kazi kabla mamlaka ya utumishi kitaifa haijawachukulia hatua za kinidhamu!
Kuna watumishi mliwahamisha vituo vya kazi tangu mwezi July mwaka jana Hadi leo hamjawalipa stahiki zao za uhamisho na BADO wapo vituo mama wakisubiri fedha zao Hadi leo na hawafanyi kazi KWA takribani mwaka mzima.
Watumishi hao wanalipwa mishahara bila kufanya kazi KWA mwaka mzima wakisubiri fedha zao za uhamisho Hadi leo!
Hivi mnafikiri hayo malipo hewa sio hasara KWA serikali na wananchi kuhujumiwa kodi zao!!?au mnatumia nini kufikiri hilo!?
Hamuoni huo ni ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za serikali!!?
Amueni Moja Kati ya haya;
1.Kusitisha uhamisho na kuwapa barua waendelee kufanya kazi katika vituo mama kama hamna fedha za kuwalipa!!?
Au
2. Walipeni fedha zao mapema Ili waende kulitumikia TAIFA lao kwenye vituo vyao vipya vya kazi!
Mamlaka ya Tsc Uyui mnalijua Hilo!!?Mbona mmekaa kimya kwa mwaka mzima!!?
Nimepewa ujumbe nimeufikisha fanyieni kazi kabla mamlaka ya utumishi kitaifa haijawachukulia hatua za kinidhamu!