welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Hii nchi ni ya ajabu sana, shirika ni la serikali na linategea kufanya biashara na serikali,
ndiyo mana hata mabenki mengi yana mashart ya ajabu ajabu kwenye mikopo!!
kuna uhitaji mwingi sana wa makazi ila kwa kuwa mmeona wanaopaswa kulengwa ni wafanyakazi wa serkali tu!
Alafu hao mnaoimba nyimbo wakajiajiri hata hiyo mitaji hamjui wanaitoa wapi!
ndiyo mana hata mabenki mengi yana mashart ya ajabu ajabu kwenye mikopo!!
kuna uhitaji mwingi sana wa makazi ila kwa kuwa mmeona wanaopaswa kulengwa ni wafanyakazi wa serkali tu!
Alafu hao mnaoimba nyimbo wakajiajiri hata hiyo mitaji hamjui wanaitoa wapi!