Mkurugenzi TANESCO apewe Tuzo, umeme Unapungua haujawahi katika! CHAWA ni kielelezo cha vijana walio tayari kufanya lolote kwa Dhumuni!

Anyway mnaopush agenda[CHAWA], na hashtags ni MAJASIRI sana, Mungu awasaidie kuona MAISHA HALISI kuliko kuona Pesa. Sijui mnaishije wenzetu, sijui mko Tanzania ya wapi wenzetu Tunajitekenya wenyewe tunacheka wenyewe.
Hawa Watu ni Wapumbavu kuliko upumbavu wenyewe aiseeee
 
Kwenu TANESCO
Hujasema vile vinyama na vikuku kuharibika..
Hujawaongelea wenye stationery wanavyolala njaa..
Hujaongelea watengeneza keki, ashkirimu na barafu wanavyonyanyasika..
Hujaongelea wale wa dry cleaning...
Bado hujawasemea wa printing nk
Ni shidaaaa nyie waheshimiwa TANESCO
Kama mkikata umeme kateni mpaka ikulu, Kwa mama Samia na viongozi wake wote wakuu ili waelewe hii aidha, huu uchungu, huu umaskini mnaotubambika utaisha lini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…