Mkurugenzi TPA: Bunge lina haki kuukubali au kuukataa mkataba wa DP World

Mbona kama kuna ujumbe anajaribu kuutoa?,anachomanisha ni kwamba Bunge lisiridhie huo ujinga.
 
majadiljano Bungeni yanatakiwa kufanyika kabla ya mkataba kusainiwa.

Hii umeandika kwa mtazamo wako na sio utaratibu wa serikali ya Tanzania unavyoingia mikataba na nchi za nje...
 
Yaani hata kama wali sign kwa kutambua kuwa kutakuwa na process ya kibunge, ndiyo wa sign ule upupu?
 
Daah huyo Boss wa TPA nae hajasoma huo mkataba au alilazimishwa kusaini tuu..
 
majadiljano Bungeni yanatakiwa kufanyika kabla ya mkataba kusainiwa.

Hii umeandika kwa mtazamo wako na sio utaratibu wa serikali ya Tanzania unavyoingia mikataba na nchi za nje...
 
Sasa kama Bunge halitoridhia yeye kama DG atakuwa na kazi gani tena ya kuendelea na nafasu yake hiyo? Kwa maana yeye ni mmoja wapo wa timu ambayo itakuwa imeshiriki ktk mchakato mzima wote na mpaka unapelekwa bungeni watakuwa wameshajiridhisha kwa kila kitu.

Anyways, ktk hili mimi naona Mh. Rais Mama yetu amethubutu kwa kutaka kuwaleta serious investors hawa wenye cv kubwa za kazi hii ya bandari duniani baada ya sisi wenyewe kuilalamikia bandari yetu kwa miaka mingi kwamba imekuwa haina tija wala ufanisi mzuri na hakuna super profit yotote tunayopata kutokana na bandari yetu kana Taifa.

So Mama she is calculated risk hasibezwe bali apongezwe na wengi kabla yake walitamani kufanya hivi wakashindwa yeye amethubutu.Tuache tuone matokeo yake na halkika tusikosoe kwa hoja za uongo na upotoshaji kwa maslai yetu binafsi ya udini,ukanda,uchama n.k zisizokuwa na utafiti.

Mama kwangu ni shujaa ktk kuifungua nchi kwa kukaribisha hizi Multinational Organization's ambapo kwa uchumi wa sasa haiepukiki kama nchi haina uwezo wa kuendesha yenyewe au usimamizi ni mbovu imefeli na unawatajirisha wachache na kujilimbikizia mali kwa ufisadi pale bandarini ni bora tuwape wawekezaji serious.Asante na nipo tayari kwa kusahihishwa na kuelimishwa ktk hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…