Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

Wawakilishi wepi hao mkuu? Hawa akina Lusinde ,Lusinde,Mlinga na mapoyoyo mengine ambayo yakishalishwa sumu kwenye vikao vyao vya ndani wakija bungeni utadhani si wa TZ? Rejea ishu ya ESCROW ndo utajua CCM ni nani. Jiulize Ngugai ana maslahi gani kufikia hatua ya kupinga waziwazi kama si 10%?
 
Siamaini kama haya yalikuwa kweli ni masharti ya huu mkataba. Yanaonekana kama vile mtu anajisemea tu ....... Anyway, na yale Masharti aliyotuletea Msiba last week, mbona yako tofauti na haya ya wiki hii ..............!!?

Ni kama vile kwa sasa kila mtu anakuja na yake ya kutunga ilikuwaridhisha Wananchi. Kama haya ni kweli au yale ya Msiba last week kwa nini Waziri asingyasema Bungeni kama alivyoombwa na Spika!!
 
Usiniwekee maneno yako mdomoni mwangu.Eti namkubali huyo fisadi kwa shingo upande? 😳😳😳Vipi wewe!? Usilazimishe kisichokuwepo wala ambacho hakitakuja kutokea eti mimi nimkubali huyo nduli wa Ikulu.
Utabaki kulalamika na muda utakuaibisha DOGO
 
bahati mbaya sana serikali yetu hii kesho utasikia,mtu katumwa china na Oman kwenda kuzungumza nao ni suala la Muda tu.Foreign Direct investment haiwezi filisi nchi labda mniambie grace period imekuwa ndefeu mno
 
Huu mkataba kweli kama tunavyoambiwa na kila mtu ni mbaya sana, hivi hakuna namna ya huu mkataba mbaya kuwekwa wazi hata kama ni sehemu chache tu, ili wote tujiridhishe kuwa ni mbaya. Isije kuwa ni wimbo tu tunakaririshwa, kwanini huu mkataba mbovu usiwekwe wazi? Tuwanyamazishe hawa wapiga kelele?
 
Are you one of them Zwazwas? Just asking
It is just a relative term. It depends on one who terms the other. But nowadays one is clever because he/she can behave uncouthly in public. Logic has failed in Tz. Good luck.
 
It is just a relative term. I depends on one who terms the other. But nowadays one is clever because he/she can behave uncouthly in public. Logic has failed in Tz. Good luck.
Duh. You left me empty. Never understood a word from this Idiom you have just written
 
Wachina ni noma lazima watuingize chaka tutajuta tu tatzo wtz huwa tunajifanya wajanja kumbe mamburura hahaaaaaaaaai inauma saaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…