Mkurugenzi wa Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

Mkurugenzi wa Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

Hongera kwake

Nadhani ndio mara ya kwanza kuona Hispanic akiongoza Kwa Utajiri USA

Huku kwetu wenye nafasi ya kukusanya Mali nyingi wanageuka kuwa wajinga, wajeuri ,walevi wakorofi korofi ambao baadae wanazeeka kuwa masikini
 
Vipi kuhusu huyu jamaaa
Screenshot_20200730-130719.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Nilitehemea kwenye andiko angetajwa yule Mansa Musa kwa namna yoyote sijasema alikuwa na utajiri mkubwa nimesema "Angetajwa kwa namna moja au nyengine" maana kuna msemo jamaa ndio binadamu wakwanza....sasa ili neno 'wakwanza' ndio angepaswa awepo kwenye andiko kwamba kashamvuka au aje.
 
Vipi kuhusu huyu jamaaaView attachment 1549833

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Utajiri huu kaupata kwa njia gani U$D 200 sio pesa ya hapa na pale kwa biashara ya Amazon ilivyo unakubali uyo kapataje hata akiwa kwa udikteta.

Then sie tunaangalia Forbes na Players watathmini kama Bloom, NS nk ukiwatoa hao basi na mimi nasema Makonda anautajiri wa U$D 500 hatajwi na Forbesnkwasababu Leader.
 
Hiko chuma kina hela kweli ila hakipendi shoo off kama ali kiba.
Hyo ni taarifa ya 2018.
Lakini kwa sasa ndo ana dola bilioni 250
Utajiri huu kaupata kwa njia gani U$D 200 sio pesa ya hapa na pale kwa biashara ya Amazon ilivyo unakubali uyo kapataje hata akiwa kwa udikteta.

Then sie tunaangalia Forbes na Players watathmini kama Bloom, NS nk ukiwatoa hao basi na mimi nasema Makonda anautajiri wa U$D 500 hatajwi na Forbesnkwasababu Leader.
Screenshot_20200827-185918.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
lakini pia ukilipisha watu buku 2 kwa mwezi au buku hawawezi kuona tabu
Sema wewe huwezi kuona tabu mkuu, kuna watu wanaishi kwa hesabu za kutembea juu ya waya, ukiongeza hata kiunyoya kimoja tu unatengeneza ajali.
 
Mungu ni wa ajabu. Kuachana na mkewe, ndio ikawa neema
Sidhan kama ni sahihi sana ila kilichompa neema kubwa ni COVID-19 kwa kuwa ulaya na marekan walifunga biadhara na kuweka watu wao karantini so mauzo ya kampuni yake ya Amazon yakapanda mara dufu mana ilibidi hizo nchi kila kitu ufanye online.
Kwenye majanga wengine kwao huwa ni fursa nzuri zaidi ya kimaisha....
Kwa mtazamo wangu bila corona hii na makarantin ya ulaya na marekan bado angekuwa anakimbizana na billgate tu kwa uwiano ule ule
 
Akili za kimasikini hizi.
Sio Akili za kimasikini mbele ya Mungu huyo jamaa atakufa na kuoza kama wewe. Na atafufuliwa akiwa kama wanadamu wengine bila hizo dola Bilioni 200. Always you have to think hereafter
 
Ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu mpeni Mungu, acha abaki kunufaika na utajiri anaoutengeneza kihalali maana ni jasho lake. Pia Mungu si wa maskini pekee bali hata matajiri ni yeye aliyewaumba.
Sio Akili za kimasikini mbele ya Mungu huyo jamaa atakufa na kuoza kama wewe. Na atafufuliwa akiwa kama wanadamu wengine bila hizo dola Bilioni 200. Always you have to think hereafter
 
Inawezekana kutengeneza hela zaidi kwa matangazo kuliko kwa kulipisha watu.

Kwa sababu ukilipisha watu, watumiaji watakuwa wachache na watangazaji hawatavutiwa nawe.

Ukiwa na mfumo ambao haulipishinwatu kama JF, unakuwa na members wengi na watangazaji wataona unafaa kwa matangazo yao.
Njia nyingine rahisi ya kumonetise hii site binafsi naona ni freelancing.

JF wakae katikati, watu waoutsource huduma kuliko kukomalia kupiga ban watu zisizo na mashiko.
 
Inawezekana kutengeneza hela zaidi kwa matangazo kuliko kwa kulipisha watu.

Kwa sababu ukilipisha watu, watumiaji watakuwa wachache na watangazaji hawatavutiwa nawe.

Ukiwa na mfumo ambao haulipishinwatu kama JF, unakuwa na members wengi na watangazaji wataona unafaa kwa matangazo yao.
Njia nyingine rahisi ya kumonetise hii site binafsi naona ni freelancing.

JF wakae katikati, watu waoutsource huduma kuliko kukomalia kupiga ban watu zisizo na mashiko
Sio Akili za kimasikini mbele ya Mungu huyo jamaa atakufa na kuoza kama wewe. Na atafufuliwa akiwa kama wanadamu wengine bila hizo dola Bilioni 200. Always you have to think hereafter
Hata akifa watoto wake wataendelea kukukimbiza wewe na watoto wako, vivyo hivyo mpaka wajukuu na vitukuu.

Pia kampuni yake itaendelea kuwa msaada miubwa sana jwa watu wengi
 
Jameni namimi naanzisha mradi wa ufugaji panya niwe na panya bilion 3 hivi, waandishi wa habari watauza newz ,tayari ntakua nimejulikana naanzisha biashara hatari sana kuuza zawadi mbaya mbaya tu
 
Back
Top Bottom