JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Your browser is not able to display this video.
Kambona amesema itakuwa ngumu kupunguza kiasi hicho wanachopaswa kulipa cha shilingi elfu arobaini kutokana na gharama kubwa zinazotumika katika uendeshaji mochwari hizo.